Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau 70, ila apangalo mola....Umri sahihi wa mtu kufa ni miaka mingapi?
Wanaovuka hapo huishi kwa mateso mengiWanaovuka hapo wanakuwa wamekiuka masharti?
Angalau 70 isipokuwa angalau unafanyaje?
Hahahahaaa
Nani aliwahi kukusimulia mateso anayopata ukivuka umri huo?Wanaovuka hapo huishi kwa mateso mengi
But what is deponed is that he lodged at a guest house. That is the fact on record! Coming back to our contention, security-wise, a hotel in the strict sense of its meaning, is more secure compared to a guest house!Gues
Guest house na hotel zote ni nyumba za wageni, tofauti ni aina ya huduma na ubora wake. Pia kumbuka sisi waswahili huyachanganya hayo mawili (tunayatumia interchangeably)
Kwani kuna umri sahihi na ambao sio sahihi?Umri sahihi wa mtu kufa ni miaka mingapi?
Daah, sawa mkuuYa utotoni inategemea ulikuwa mtoto wa getini au mtoto wa kawaida. Kama ni getini ni miaka hadi 24.
Ni maandiko ya bibilia chief umri wa binadamu ni miaka 77 zaidi ya hapo ni matesoNani aliwahi kukusimulia mateso anayopata ukivuka umri huo?
Wacha tusubiri taarifa rasmi na pia nitalitafuta hilo gazeti nione walivyoandikaBut what is deponed is that he lodged at a guest house. That is the fact on record! Coming back to our contention, security-wise, a hotel in the strict sense of its meaning, is more secure compared to a guest house!
Nikasome biblia yote kuhusu hayo maandiko?Ni maandiko ya bibilia chief umri wa binadamu ni miaka 77 zaidi ya hapo ni mateso
Ambao siyo sahihi unapatikana vipi kama hakuna sahihi.
Nikupe point yangu mkuu, usijeitafsili tofauti. Maana yangu ni kuwa mtu wa umri wowote anafariki.
Unaweza kujaribu.....Nikasome biblia yote kuhusu hayo maandiko?