TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

Ukiwa na umri kama wa jenerali Msuguri na kisha Mnyaazi Mungu akakutwaa watu hawatakulilia sana kwa sababu Mungu kakupendelea sana kuishi ila kwa umri wa mmiliki wa sahara kibinadamu ni umri ambao bado una nguvu za kutosha na unahitaji sana kuendelea kutimiza ndoto zako....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifa kabla ya 100 yrs umeonewa?
 
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu. Ndiyo maana akili ilikataa kuamini hii habari.
 
Mtaa Wa Dar es salaam.Mjini Moshi

Macho Yako Yanaona Kama mm Mkuu?

Chanzo Si Changu Mwananchi Imeandika

Na Police Wamethibitisha
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom