TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

TANZIA Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) afariki

MZIGOOO MPWAA ACHA KUJITOA UFAHAMU
KAFIA GUEST ..ALIKWENDA KUSALI??
Huwezi kuikomoa K. Hata siku moja. Mavumbi yanafaa uyatumie na wife, mnaanza kiduch halafu kiduchu baadae KIDUCHU. sio unapatamia jimama la kimachame limeenda juu eti unaliwekea vumbi la kongo.
 
Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi.

Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.

Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.


View attachment 1313052
DAH KAMA NAMWONA KINGAST ANAVYOKUJA KUKAMATA MADARAKA NA KUULIZA GARI INA WANGAPI LEO MMEJAZA

MAISHA KUPOKEZANA
 
DINI ILIO BORA
KUSAIDIA WAJANE YATIMA ....
MKILIELEWA HILI MJUE N MOJA YA SADAKA UNAFANYA KUHAKIKISHA MJANE.YUKO HAPPY
 
Abdala alikuwa mtu wa jamii sana kwa watu wa usangi na kwingineko wanaweza temba hilo, kifo hakuna umri, wala kiwango cha pesa. Alikuwa anapaki gari yake kwenye lodge akafia kwenye parking. Watu wakaona gari imepaki iko silence mtu hashuki ndo kwenda kucheki wanaona mtu ndani ya gari kama Kesha kata moto wakaita polisi wakaona jamaa afariki povu mdomoni . Inahisiwa pressure au kusubiri taarifa ya madaktari
 
Nilihudhuria msiba mmoja....
nikiwa kanisani nilimsikia mchungaji aki quote kifungu cha bibilia nimesahau......
ya kwamba kiumbe kilichozaliwa na mwanamke siku zake zimehesabiwa tena ni chache.....
miaka 77 ni ukomo zaidi ya hapo ni mateso
"Zaburi 90:10. Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea ... "
 
"Zaburi 90:10. Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea ... "
Asante sana kwa kifungu.....
kuna mpagani mmoja amenisumbua kweli kweli...
 
Msingi wa hii habari ni kifo cha mmiliki wa mabasi ya sahara na wewe unakiri jamaa amefariki kweli, kwahiyo hapa haukanushi hii habari bali umeiweka hii habari sawa.
Inawezekana pia alifikia guest kujipumzisha lkn ndio umauti ukamkuta akiwa huko lkn kutokumfiria marehemu vibaya familia au watu wake wakaribu wakaamua kukataa hajafia guest
kaimu Kamanda Kanyama amethibitisha marehemu kufia nyumba ya kulala wageni akiwa na mwanamke ambaye alitoroka baada ya tukio. Na upekuzi katika gari la marehemu ulikuta dawa ya kienyeji ambayo inachunguzwa.Source Global publishers
 
Mmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi.

Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.

Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.


View attachment 1313052
FIKIRI MVUNGI ameshafanya yake.

Hatari sana yule mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa

Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital

Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo

NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family

Sent using Jamii Forums mobile app
Washindiadhe...!

Lomwe? Shighatini? Mombasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom