Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Muulize mama yako yule shoga yake ambaye alikuwa anamletea madanga kuwa umekutana naye JF.Kumbe mwanamke wa kizaramo,basi sawa Mwajuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize mama yako yule shoga yake ambaye alikuwa anamletea madanga kuwa umekutana naye JF.Kumbe mwanamke wa kizaramo,basi sawa Mwajuma
Aliyekuoa pole yakeMuulize mama yako yule shoga yake ambaye alikuwa anamletea madanga kuwa umekutana naye JF.
Mpe pole na aliyeoa shoga yangu (mama yako)Aliyekuoa pole yake
Wanaokufa na miaka 25 hao ni wachanga au? Kufa ni kufa ulitaka afe ni miaka mingapi mkuu?
Hapana Mkuu.Gues
Guest house na hotel zote ni nyumba za wageni, tofauti ni aina ya huduma na ubora wake. Pia kumbuka sisi waswahili huyachanganya hayo mawili (tunayatumia interchangeably)
MhnnHalafu manzi aliyekuwa Naye katoroka. Hata mm ningetoroka nisingemsubiri kamanda wa mkoa anithibitishe innocent. Baba zetu jiheshimuni basiii khaa K zitawatoa uhai
Nilifikiri niko sahihi mkuuHapana Mkuu.
Nimesikia taarifa Kama hii kwa mtu wake wa karibu ...Nakanusha hii habar sio ya kweri jamaa hajafia Dar wala iyo guest inayosemwa
Marehem alitoka Usangi mapema tuu kuelekea Mosh katika majukum yake ila wakat anatoka hakuwa anajihisi vzr baada ya kufika mosh hari yake haikuwa nzur ikazid kuwa mbaya zaid ikabid watu wa karibu wampeleke Hospital Mawez Mosh
Wakat wanafika hospital Ma Dr wakasema jamaa alishakufa kabla ya kufika hapo hospital
Na kwa wanaomjua uyo jamaa ni Bonge la MTU yawezekana ni Presha au matatizo ya Moyo
NB nimekanusha kama mtu wa karibu na Family
Sent using Jamii Forums mobile app
Then unaona raha kufanyia innocent people ethnic cleansing?
Kuwafanyia total prosecution?
Acha makelele,njoo nitafute kama una huo ubavu tuone!
Ni aidha mimi au wewe!
Jiandae
Dah KAKUTWA NA MADAWA YA KIENYEJI NAHISI KABOOST KYPITILIZA POLISI WANAZIFANYIA KAZI NAWAZA TU ZINAPOISHIAMmiliki wa mabasi ya Sahara, Abdalah Msangi (47) na mkazi wa Usangi mkoani Kilimanjaro amekutwa amefariki dunia kwenye moja ya chumba cha wageni mtaa wa Dar es Salaam mjini Moshi.
Wakazi wa Arusha, Moshi, Same, Usangi nina uhakika mnayajua vyema mabasi haya.
Allah Ampunguzie Adhabu Ya Kaburi Inshallah.
View attachment 1313052
Miaka 80 zaidi ya hio unaishi kwa neemaUmri sahihi wa mtu kufa ni miaka mingapi?
MZIGOOO MPWAA ACHA KUJITOA UFAHAMUKabisa Asee Natamani Kujuwa Chanzo Cha Umauti Wake
Nilikuwa Mteja Mkubwa wa Sahara Line
Sent using Jamii Forums mobile app