Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]!
!
Msiwe na wasiwasi. Nchi iko salama. Hao ni chedema tu wanataka kuvuruga amani yetu. Na wasinijaribu
Labda Mwigulu aliyetoa hiyo kauli sio mmUna mtindio wa ubongo
Wewe kabisaLabda Mwigulu aliyetoa hiyo kauli sio mm
Utakuwa na IQ ya mende sio bure.Wewe kabisa
Hukumuelewa otherwise ulichosema hapa ni ushabiki tu
Roho ya umwagaji damu imetanda anga la nchi yetu maana kuna watu wasio na DNA za kitanzania ndo chanzo cha roho hizo.TB Joshua alipotembea peku aliliona hili.Ila haya mambo aisee hatukuzoea kuyaona awamu hii dah ! , ngoja nikae kimya .......So sad !
Hata yule mla mihogo alisema ni ya kawaida nadhani wanaubia na wasiojulikana maana hawaweziguswa.Wapatikane ili iweje wakati kuna ccm wanasema haya matukio ni kawaida
Tunatofautiana mioyo Mimi nyanya moja ikioza au ikianguka chini siokoti nachukua zingine nyingi tu gengeni.Wewe unaweza kumuua mtu anayemchukua mke wako ?
MBONA wengi tu wanapeleka njia ile sie yeye tu toka zamani tu.Kwani hilo eneo anakopeleka mabasi yake yuko Yule tajiri wa mabasi ya Zacharia? km hiyo barabara inayo hayo mabasi mmmmmh
Kama imekuuma chomoa!Acha uzwazwa wewe... hata hili unataka kuhusisha awamu?
vipi mauaji ya bilionea msuya na matajiri wengine wa Arusha yalitokea awamu hii
?
hawa matajiri waacheni hivyohivyo wanaishi kwenye dunia yao na wanayofanya kwenye hiyo dunia yao wanayajua wenyewe na wengi huo ndio huwa mwisho wao
eti awamu hii.... KENGE MMOJA WEWE mnakera sana nyie ZERO BRAIN mnaojikuta great thinkers
Kwa hyo kashabahatika sasa kukutwa na hiliPete ya bahati
Mauaji ya msuya yana zaidi ya miaka 4...ila awamu hii kuna mauaji mengi ya ajabuajabu mara maiti kwenye viroba,kupigwa risasi tl halafu police mpka leo hawana jibu la hayo matukioAcha uzwazwa wewe... hata hili unataka kuhusisha awamu?
vipi mauaji ya bilionea msuya na matajiri wengine wa Arusha yalitokea awamu hii
?
hawa matajiri waacheni hivyohivyo wanaishi kwenye dunia yao na wanayofanya kwenye hiyo dunia yao wanayajua wenyewe na wengi huo ndio huwa mwisho wao
eti awamu hii.... KENGE MMOJA WEWE mnakera sana nyie ZERO BRAIN mnaojikuta great thinkers
Mwigulu nchemba alisema hao wanaokufa ni wa inchi jirani.
R.I.P