Mmiliki wa Shule za Tusiime jitafakari na uwalipe wafanyakazi stahiki zao

Huyu mtamuonea tu. Geukieni mifuko yenu ya hifadhi ya jamii iwasaidie. Huu ndio muda wa mifuko hiyo kuwahifadhi wachangiaji wake.

Tusiime alipe pesa kutoka wapi wakati mnajua kabisa malipo yenu yanatoka kwenye ada za wanafunzi na wanafunzi hawapo? Kwa umoja wenu ombeni nssf iwahifadhi kupitia michango yenu.
 
Hapo cha msingi serikali itoe fao la kujitoa kwa waajiriwa secta bnafsi wote waliotemeshwa mzigo,ila kwa serikali za kiafrica msitegemee serikali kutoa luzuku kwa sclecta bnafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
The only solution ni hii mifuko kuwapa watu kilicho chao hata kwa uchache ili kiwstunze. Umenena vyema sana
 
Kama mshahara wa mwezi wa tatu amewalipa basi atakuwa na nguvu ya kujitetea maana kwa mwezi wa NNE ni robo ya pili ambayo wazazi walio wengi hawajalipa ada!! Kuna shule ambazo hata mwezi wa tatu hawajalipwa kwa kisingizio cha kufungwa shule wakati wazazi walishalipa ada yote kwa robo ya kwanza.

Serikali iliangalie hili. Napendekeza serikali izikopeshe pesa shule za binafsi ili ziweze kulipa mishahara. Shule zikifunguliwa wazazi watalipa ada na shule zitalipa deni serikalini.
 
N
Siwezi kulipa akati sina hela, walimu mvumilie tu
Njaa haivumilii!! Ndio maana propesa lipumber alitengua barua yake na kukirudia tena kigoda cha kafu!! Chezea njaa weye!! Hali kadhalika Dr mihogo, Dr Kushinjy nk
 
Hivi baada ya corona kwisha wazazi watalipa full school fees wakati kuna siku kede kede watoto hawapo shuleni na hawafundishwi au kutumia resources za shule?
Lazima walipe full school fees maana watafundishwa full syllabus! Waalimu hawawezi kuruka mada ambazo zilikuwa zifumdishwe April! Mwanafunzi hawezi kufundishwa mada za juu kabla ya za chini.
 
Well said mkuu ...

One love
 
Lazima walipe full school fees maana watafundishwa full syllabus! Waalimu hawawezi kuruka mada ambazo zilikuwa zifumdishwe April! Mwanafunzi hawezi kufundishwa mada za juu kabla ya za chini.
Kama ndivyo mbona nasikia kuna baadhi ya shule za binafsi walimu wameangua kilio baada ya kupewa likizo ya bila malipo au wanafunzi wakirudi hao walimu watapewa mishahara dabo dabo?
 
Poleni sana kwa mkasa uliowakuta.
 
Unampaje m
Fa
Unampaje mfanyakazi likizo isiyo na malipo na huku ada wazazi watalipa vilevile,kwanza at least angehesabu siku za mapumziko za mhula kama zimeisha ndio angekuja na hiyo plan maana hizi siku zitalipwa endapo janga litawai kuisha sasa huo si utakuwa utapeli yaan mwalimu atakuwa hajapata likizo yake ya malipo kama jinsi utaratibu ulivyo siku zote.

Haya kwa nini wasiingie makubaliano ya kurusha malipo kuwa watalipwa pesa zao baada ya miezi kadhaa mbeleni yaan kama deni.Huu ni utapeli tu kama ulivyo utapeli mwingine
 
Mmiliki hajafanya Biashara, mwajiriwa hajafanya kazi, badala tukomalie mifuko ya pension ilipe wafanyakazi kila mwezi, tunamlalamikia wamiliki wa shule...
 
Ndy biashara ina changamoto nyingi..mbinu ilikua ni kuwalipa mishahara hata ya miez miwili wapate where to start sio kuwatreat vile..hata trump ni Tajiri lakini historia yake alipata kuuza aset zake ili kampuni zisfe..ni swala la hesabu tu...
Aisee ...tuna safari ndefu sana! Kwahiyo auze mali zake sio? Wewe unaweza kuuza vyako kwaajili ya jirani yako tu mwenye njaa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh kumbe biashara ya kumiliki shule nayo nipasua kichwa tu
 
Lakini hebu tuweni wakweli. Kama hazalishi kwa maana ya kuwa hakuna ada zinazolipwa kutokana na watoto kuwa katika likizo ya lazima ya Corona ambapo wazazi sasa hawalipi mmiliki wa shule atatoa wapi pesa za kuwalipa wafanyakazi wake?

Yeye mwenyewe kwanza hana hela na bado ata takiwa kulipa umeme na baadhi ya huduma kama ulinzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini hakuforesee risks ambazo lazima ujue kwamba zipo? Aliyemwambia alipishe ada kwa awamu ni nani? Wakati anatengeneza faida alikuwa haweki akiba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napendekeza serikali izikopeshe pesa shule za binafsi ili ziweze kulipa mishahara. Shule zikifunguliwa wazazi watalipa ada na shule zitalipa deni serikalini.

Hio riba kipindi wanarudisha hio hela ndio wamiliki wanaikwepa,, so ni bora wadaiwe na wafanyakazi wao kuliko wao kudaiwa na serikali,, labda kama watapewa bila riba..

Ki biashara faida ndio huangaliwa,, mambo ya ubinadamu hufuata baadae, (utu umeshuka bei, thamani ya pesa imepanda by, Fid Q)
 
Yale talw ya Hospital ya kairuki na uhaya.Nachukia sana mambo ya ukabila, sitarudisha wanafunzi pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…