Kauliwa na Hamas magaidi,kama asingetekwa na Hamas asingekufa, Hamas unatekaje mtu asiye Mwisraeli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauliwa na Hamas magaidi,kama asingetekwa na Hamas asingekufa, Hamas unatekaje mtu asiye Mwisraeli?
swali la kwanza liwe, AMEFIKAJE GAZA, wakati alikuwa Israel? jibu ni kwamba, magaidi ya hamas yalimteka hata baada ya kujieleza kwamba yeye ni mtanzania wala hahusiki hawakumsikiliza, na walivyoona jina ni clement kwamba ni mgalatia, wakamchinjia mbali, na kumtupa nje. wakati huo huo balozi wa palestina yupo hapahapa bongo, na serikali yetu haikuchukua hatua zozote kuongea naye ili amwambie Ismail Haniyah ambaye anaishi qatar, awambie hamas waachie vijana wetu wawili sisi hatuhusiki na ugomvi wao. ubalozi wa palestina hapa nchi una faida gani? unatusaidia nini kama hawawezi hata kutusaidia ndugu yetu aachiwe na mahamas?Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
Watasingiziwa Hamas!Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
hadi mwili wake umepatikana,Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
nini maana ya gaidi ?Haya magaidi yamekiri kuwa mateka amefia mikononi mwao:
Most recently, Hamas said, one of the captives was moved to a facility’s intensive care unit and when he recovered, he was moved back to “his place of detention”.
But the captive died due to a series of panic attacks as a result of repeated Israeli bombardment nearby, the Qassam Brigades said. “We will release documents proving this,” the group said.
Source: AlJazeera.
we unaona wanakua sasa inachelewesha ili ikaokoe maiti ama ?Israel inajua walipo ila inachelewesha muda ili ifanye mambo Fulani.
Aliye kwambia amepatikana gaza ni nani?swali la kwanza liwe, AMEFIKAJE GAZA, wakati alikuwa Israel? jibu ni kwamba, magaidi ya hamas yalimteka hata baada ya kujieleza kwamba yeye ni mtanzania wala hahusiki hawakumsikiliza, na walivyoona jina ni clement kwamba ni mgalatia, wakamchinjia mbali, na kumtupa nje. wakati huo huo balozi wa palestina yupo hapahapa bongo, na serikali yetu haikuchukua hatua zozote kuongea naye ili amwambie Ismail Haniyah ambaye anaishi qatar, awambie hamas waachie vijana wetu wawili sisi hatuhusiki na ugomvi wao. ubalozi wa palestina hapa nchi una faida gani? unatusaidia nini kama hawawezi hata kutusaidia ndugu yetu aachiwe na mahamas?
kwani wewe nani kakwambia hajapatikana Gaza? kwenye international news imeshasambaa kwamba ameokotwa Gaza akiwa amekufa. sasa wewe kama unaamini ameokotwa manzese ni wewe. na tunawashangaa kwanini mnasapoti magaidi ya hamas wakati wameuwa hadi ndugu zenu.Aliye kwambia amepatikana gaza ni nani?
Kuna utata mkubwa.Pamoja na majonzi tutake ufafanuzi na tuombe fidia.Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
Crap!kwani wewe nani kakwambia hajapatikana Gaza? kwenye international news imeshasambaa kwamba ameokotwa Gaza akiwa amekufa. sasa wewe kama unaamini ameokotwa manzese ni wewe. na tunawashangaa kwanini mnasapoti magaidi ya hamas wakati wameuwa hadi ndugu zenu.
kumbe alikuwa agent wa MOSSAD
Majini Yako yameamka Mr Malaria? Wewe utakuwa ni mchawi
Nonsense. Hilo genge la magaidi wa Hamas lazima lifutwe ndio Gaza iwe free.
Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu
Amekufaje?
Kwanza kwanini atekwe? Hao Hamas ni magaidi hawafai, hao wapalestine ndiyo waliomsaidia Idi Amin kupigana na sisi.Kwanza kwanini alitekwa na kushikiliwa bila kuachiwa wakati hausiki na uhamasama wa Israel na Palestina?