Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Kauliwa na Hamas magaidi,kama asingetekwa na Hamas asingekufa, Hamas unatekaje mtu asiye Mwisraeli?
1700329481107.png
 
Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu

Amekufaje?
swali la kwanza liwe, AMEFIKAJE GAZA, wakati alikuwa Israel? jibu ni kwamba, magaidi ya hamas yalimteka hata baada ya kujieleza kwamba yeye ni mtanzania wala hahusiki hawakumsikiliza, na walivyoona jina ni clement kwamba ni mgalatia, wakamchinjia mbali, na kumtupa nje. wakati huo huo balozi wa palestina yupo hapahapa bongo, na serikali yetu haikuchukua hatua zozote kuongea naye ili amwambie Ismail Haniyah ambaye anaishi qatar, awambie hamas waachie vijana wetu wawili sisi hatuhusiki na ugomvi wao. ubalozi wa palestina hapa nchi una faida gani? unatusaidia nini kama hawawezi hata kutusaidia ndugu yetu aachiwe na mahamas?
 
Tufafanuliwe hili Ili kuondoa sintofahamu kubwa baina yetu

Amekufaje?
hadi mwili wake umepatikana,
uchunguzi utabainisha kilichosababisha kifo chake, mathalani ni mateso ya watekaji, kipigo cha watekaji, njaa na kiu kwenye maficho ya watekaji, maradhi na magonjwa ya kawaida au mlipuko katka maficho ya watekaji, hali ya hewa, sumu au ni katika purukushani na mistakes za uvamizi wa waokoa mateka dhidi ya watekaji n.k

Uchunguzi wa mwili utasaidia kwa kiasi kuondoa sintofahamu ya kifo cha muungwana huyu..

Rest In Peace Clemence
 
Haya magaidi yamekiri kuwa mateka amefia mikononi mwao:

Most recently, Hamas said, one of the captives was moved to a facility’s intensive care unit and when he recovered, he was moved back to “his place of detention”.

But the captive died due to a series of panic attacks as a result of repeated Israeli bombardment nearby, the Qassam Brigades said. “We will release documents proving this,” the group said.

Source: AlJazeera.
nini maana ya gaidi ?
 
swali la kwanza liwe, AMEFIKAJE GAZA, wakati alikuwa Israel? jibu ni kwamba, magaidi ya hamas yalimteka hata baada ya kujieleza kwamba yeye ni mtanzania wala hahusiki hawakumsikiliza, na walivyoona jina ni clement kwamba ni mgalatia, wakamchinjia mbali, na kumtupa nje. wakati huo huo balozi wa palestina yupo hapahapa bongo, na serikali yetu haikuchukua hatua zozote kuongea naye ili amwambie Ismail Haniyah ambaye anaishi qatar, awambie hamas waachie vijana wetu wawili sisi hatuhusiki na ugomvi wao. ubalozi wa palestina hapa nchi una faida gani? unatusaidia nini kama hawawezi hata kutusaidia ndugu yetu aachiwe na mahamas?
Aliye kwambia amepatikana gaza ni nani?
 
Kwanza ni black
Pili SI wa dini Yao
Mashehe ubwabwa hawajawahi kuzungumza lolote kuhusu hili,
 
Aliye kwambia amepatikana gaza ni nani?
kwani wewe nani kakwambia hajapatikana Gaza? kwenye international news imeshasambaa kwamba ameokotwa Gaza akiwa amekufa. sasa wewe kama unaamini ameokotwa manzese ni wewe. na tunawashangaa kwanini mnasapoti magaidi ya hamas wakati wameuwa hadi ndugu zenu.
 
kwani wewe nani kakwambia hajapatikana Gaza? kwenye international news imeshasambaa kwamba ameokotwa Gaza akiwa amekufa. sasa wewe kama unaamini ameokotwa manzese ni wewe. na tunawashangaa kwanini mnasapoti magaidi ya hamas wakati wameuwa hadi ndugu zenu.
Crap!
 
Yani hakuna ubalozi wa kipumbavu kama wa Palestine. Tulipaswa kuwa na ukaribu na Israel kuliko hawa Mbuzi. Shenzi kabisa
 
Back
Top Bottom