Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea


Kila mtu atabeba furushi lake. Hivi kama mama mzazi ni chizi, utamtupa nje ya nyumba? Kuna namna ya kufanya kupambana na changamoto. Kuuza utu na heshima yetu nje, ni kujidhalilisha tu. Hakuna mzungu atamkomboa mwafrika
 
Maendeleo yanakuja baada ya watu kubishana kwa hoja,sasa huko kigoma mjini maendeleo yataenda lini kama fedha zote za serikali zinapelekwa cattle???- don't be stupid

Kigoma imeanza kuwepo awamu hii ya tano tu? Mbona Kilimanjaro na Arusha walianza zamani na hatukusema? Kuna ubaya gani Kanda ya Ziwa ikipewa nafasi hiyo? Hata Kigoma itafunguka
 
Kila mtu atabeba furushi lake. Hivi kama mama mzazi ni chizi, utamtupa nje ya nyumba? Kuna namna ya kufanya kupambana na changamoto. Kuuza utu na heshima yetu nje, ni kujidhalilisha tu. Hakuna mzungu atamkomboa mwafrika
Kuna watu hapa TZ na Afrika hushukuru sana wakisikia Mzungu akitukana mataifa yao. Na, Ukiona hivyo, ni ishara na watu ambao evolution haikuwasaidia. Baadhi ni viongozi! Hapa kwetu niliona CHADEMA wakielekea umoja wa EU kushtaki serikali.
Toooo low!
 
Zitto, ni lini utaleta habari za maendeleo ya nchi yako? Waswahili tunakamsemo ketu, "wivu ni kidonda ukishiriki utakonda"

Wewe naye taabu tupu...!!

Maendeleo yanaletwa kwa Zitto kuyaandikia habari/uzi JF au kila mtu atayahisi, kuyashika, kuyanusa na kuyaona kwa macho yake mwenyewe?

Kimya maana yake, no one including yourself is feeling or seeing anything.......!!

Wewe kama unaweza kuyaandikia uzi/thread/mada.....fanya hivyo

Sema tu, Stiglers Gorge, SGR, Bombardier, Chato International Airport, Burigi National Park.....labda tutakuelewa!!
 
Kwa hiyo hapo tayari wewe ndugu hakimu ,sijui jaji wa mtandaoni tayari umemuona kabendera ana hatia ?Una ushahidi kwamba yeye ndio ameandika hiyo taarifa ?Wakili wake anakwambia anadaiwa kuandika makala hayo ,sasa ni jukumu la waendesha mashtaka kuthibitisha .Hats kama atakuwa kaandika kweli ,aliyoyaandika ni ya kweli kabisa ,shida mini?
 
Reactions: BAK
Zitto aangalie asije pewa kesi ya kutupa takataka barabarani akakamatwa na Wajeda wa Makondakta
 
Msaliti msaliti, muache awe ndumila kuwili ili ajue kwa nini watanzania wapo tayari kufa wakimtetea Dkt Magufuli ili atuletee maendeleo, hatutaki wajinga wajinga wanaotaka kushusha ari mioyo ya watanzania wanaosema hapa kazi tu! Akome na akomeshwe huyo msaliti.
 
Mwenye hizo makala zake aweke hapa na tusiojua tumjue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…