ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Unavyotaka washangilie na kumsifia mkandamizaji wa haki zao? Wawe wanagugumia kimyakimya ili 'mzungu asisikie na 'kututukana'? Wasitoe siri ya kuonewa kwao katika nchi yao ili wasimchafue 'Rais' wao? KAMA kweli hayo yatoka moyoni mwako, basi tuna tatizo kubwa katika nchi hii. Kwani hiyo ndio style ilokuwa ikitumiwa na makaburu SA. Amen.Kuna watu hapa TZ na Afrika hushukuru sana wakisikia Mzungu akitukana mataifa yao. Na, Ukiona hivyo, ni ishara na watu ambao evolution haikuwasaidia. Baadhi ni viongozi! Hapa kwetu niliona CHADEMA wakielekea umoja wa EU kushtaki serikali.
Toooo low!
Na Kuna watu hapa Tanzania na Afrika wanaofurahi Sana na kukenua wakiona madikteta wakiua watu hovyo kwa kisingizio cha maendeleo uchwara!!!Kuna watu hapa TZ na Afrika hushukuru sana wakisikia Mzungu akitukana mataifa yao. Na, Ukiona hivyo, ni ishara na watu ambao evolution haikuwasaidia. Baadhi ni viongozi! Hapa kwetu niliona CHADEMA wakielekea umoja wa EU kushtaki serikali.
Toooo low!
Ukichukua maandishi ya hiku JF ukilinganisha na makala za the Economist ni uandishi upi wenye staha zaidi?Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!
Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Unaandika kama mtu ambaye hajitambui ndiyo maana unahitajika kusoma sheria ili upate ABC za sheria itakusaidia kuwa na mtazamo chanya dhidi ya sheria na wanasheria.Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!
Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Naunga mkono hojaUnaandika kama mtu ambaye hajitambui ndiyo maana unahitajika kusoma sheria ili upate ABC za sheria itakusaidia kuwa na mtazamo chanya dhidi ya sheria na wanasheria.
Tusaidie difination ya maendeleo plzKigoma barabara ya kasulu inajengwa, lile tope la kufamtu litakuwa historia, kunampango wa kujenga reli kutoka Uvinza mpaka Burundi. Kwa sasa bandari ya Kasanga inapanuliwa na napia kuna mpango wa kuongoza meli nyingine mpya ziwa Tanganyika..
Hata saa mbovu itasema wakati sahihi mara mbili kwa siku. Haiwezekani mtu apinge kila wakati labda mwenyewe awe mbovu luliko saa mbovu.
Kusogea kutoka hatua moja ya chini hadi nyingine ya juu.Tusaidie difination ya maendeleo plz
Muulize ni lini ataleta habari za maendeleo na changamoto za wanakigoma!!Zitto, ni lini utaleta habari za maendeleo ya nchi yako? Waswahili tunakamsemo ketu, "wivu ni kidonda ukishiriki utakonda"
Unajua kuna jambo linanitatiza:Kama Jiwe anatendea mema taifa lake kwanini ni mwoga sana wa critics? Nimekuwa nikimfuatilia Trump harakati zake. Siku zote hujibu hoja kwa hoja dhidi ya critics wake. Na mara nyingi amekuwa akiwashinda. Sasa huyu wa kwetu anaziba watu midomo aongee yeye tu. Sasa kama anajiamini hayo anayoyafanya ni kwa ajili ya watanzania basi awaache na watanzania nao watoe maoni yao!
Yeye anachotakiwa kufanya ni kura kuamua na si vinginevyo. Ukiona mtu anapenda sana kusifiwa inabidi umchunguze vizuri kama hizo sifa zinaendana na hayo.Watu wanaenda kinyume na utawala wowote lazima wanyamazishwe au waende sehemu nyengine.Hata Mungu aliona ni vyema kumtimua shetani na malaika zake !! Acheni kutumika kwa manufaa ya matumbo yenu hapo mtaishi kwa amani
Sasa unampangia cha kusema humu jukwaani?Muulize ni lini ataleta habari za maendeleo na changamoto za wanakigoma!!
Wanyamazishwe =wauwawe?Watu wanaenda kinyume na utawala wowote lazima wanyamazishwe au waende sehemu nyengine.Hata Mungu aliona ni vyema kumtimua shetani na malaika zake !! Acheni kutumika kwa manufaa ya matumbo yenu hapo mtaishi kwa amani
Jiwe ni mshamba.. bhaasi. Lakini anaelewa ambavyo tulimgaragaza kwenye sanduku la kura, anajuwa vema kabisa. Anafahamu pia tutamgaragaza tena akigombea 2020. Woga wake ni dhahiri, hasa akikumbuka kuwa hana wherewithal upstairs ya kujenga hoja.. ndo maana jamaa anachukia watu wote wenye akili zaidi yake. Yeye anaona bora afanye kazi na mang'ombe kina musiba na bashite kwa sababu hawajiwezi.. wako tayari kumlamba pnmbu ili mradi mkono wao uende kinywaniUnajua kuna jambo linanitatiza:Kama Jiwe anatendea mema taifa lake kwanini ni mwoga sana wa critics? Nimekuwa nikimfuatilia Trump harakati zake. Siku zote hujibu hoja kwa hoja dhidi ya critics wake. Na mara nyingi amekuwa akiwashinda. Sasa huyu wa kwetu anaziba watu midomo aongee yeye tu. Sasa kama anajiamini hayo anayoyafanya ni kwa ajili ya watanzania basi awaache na watanzania nao watoe maoni yao!
Yule boya alisema ashukuru yuko tz ndio nkamwambia angekua US angechinjwa kama wanaompinga trump wanavyouawa kikatiliTusaidie Marekan ip ingemchinjaa
Ushamba kazini na ukosefu wa weledi wa kujibu hoja kwa hojaWatu wanaenda kinyume na utawala wowote lazima wanyamazishwe au waende sehemu nyengine.Hata Mungu aliona ni vyema kumtimua shetani na malaika zake !! Acheni kutumika kwa manufaa ya matumbo yenu hapo mtaishi kwa amani
Inawezekana uwezo wa kujibu hoja hana...Unajua kuna jambo linanitatiza:Kama Jiwe anatendea mema taifa lake kwanini ni mwoga sana wa critics? Nimekuwa nikimfuatilia Trump harakati zake. Siku zote hujibu hoja kwa hoja dhidi ya critics wake. Na mara nyingi amekuwa akiwashinda. Sasa huyu wa kwetu anaziba watu midomo aongee yeye tu. Sasa kama anajiamini hayo anayoyafanya ni kwa ajili ya watanzania basi awaache na watanzania nao watoe maoni yao!
Lete ushahidiYule boya alisema ashukuru yuko tz ndio nkamwambia angekua US angechinjwa kama wanaompinga trump wanavyouawa kikatili
Uandishi gani wakuweka dhihaka na dharau kwa Rais!!
Ashukuru sana ni Tanzania