MMU thread ya kufungia mwaka

Nitakuja tujaribu kuimba kwa vitendo...

karibu,natangulia buibui,usisahau kitendea kazi(of course just in case si unajua hata kwenye ndege huwa kuna kisanduku cha oxygen?).
 


Dogo naona umepata mchumba mlokole navyo kusoma katikati ya mistari dah.
 
Naomba niwe mpokea sadaka
i thwea ni mwaminifu kama morani kwa utamaduni wa kimasai
 
Shauri zako sauti ya bwana inakuita unaanza kuuliza maswali..

nakuja sasa hivi ngoja nimalizane na SL hapa buibui maramoja,ni demo tu haamini kuwa nina ka penseli,namwonyesha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…