Ukipunguza kuwaza misambwanda ukawekeza akili kwenye kusoma anagalau vitabu vitano vya forex na ukifanya practice za kutosha life will start to good hata kwa kufikirika before kuwa realityLife is good![emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 1133999
ndo ukome kuinvest kwenye vitu ambavyo huna knowledge navyo . sio kwa vile wewe ulishindwa ina maana matokeo yatabaki ya kufail kwa wengine noo ni wewe na mind yako hakuna cha rahis hapa dunianiKitu chochote kinachokuahidi kupata hela bila ya kufanya kazi (kuuza bidhaa au kutoa huduma flani) ni uongo mtupu...hii nilijifunza kipindi flani nilivyonunuaga hisa za voda baada kupigiwa sana promo...hahaa...sitasahau ila nilifanikiwa kuziuza japo kwa hasara
Kitu chochote kinachokuahidi kupata hela bila ya kufanya kazi (kuuza bidhaa au kutoa huduma flani) ni uongo mtupu...hii nilijifunza kipindi flani nilivyonunuaga hisa za voda baada kupigiwa sana promo...hahaa...sitasahau ila nilifanikiwa kuziuza japo kwa hasara
Unajuaje una income nzuri kuliko yeye?Mkuu tusivunjiane heshima. Hakuna mahali nimekutusi. Ongea hoja, lete hoja.
Mimi nimeijua forex kabla Ontario hajaanza kufundisha watu. Kimsingi wewe ndio msukule kuliko hao unaowaita misukule. Hakuna anayedownload pesa, we work for it. Tunatumia akili na muda mwingi kwenye screen kuliko watu wa ofisi and we get paid for it.
Mi nina uhakika wa laki 2 na thelathini kila siku nitakayotrade and I trade thrice per week. Mi na wewe msukule ni nani?
Nina residual income nzuri kuliko wewe mpumbavu mmoja unaponda kitu usichokijua.
Kwa Ontario watu walilipa laki na 30 hata kama hujui kitu hiyo pesa imesharudi. Endelea kuwaza shit while we run the town
Namegundua wewe ni mweupe kuhusu forex! Yani forex ufananishe na kubet?kwa mtu ana e BET hiii kitu ya FOREX haimsumbui maana tayari ana vi knowledge,kwa sisi tusio jua hata ku bet mama Leo atapika wali au ugali...una BET na madogo leo maza anapika Ubwabwa maana umeona mchele kumbe ule mchele ni wa Jumapili usiku mezani unafunua hotpot unakutana na Nguna...ushachana mkeka hivyooo Kwa watu akam sisi ngumu sana
Umeongea point Sana KIONGOZI, Ile kitu lazima usome kweli kweli Kwa sababu unaenda kufanya kazi na high Intelligent people a.k.a Market Maker.Haiwezekani wote tukawa wataalamu wa biashara ya Forex, ukiona kimekushinda acha. Forex is real, mimi mwenyewe siwezi na sitakuja kujaribu hii kitu, ila najua ni biashara ipo siku nyingi na watu wanaendesha maisha yao kwa hii Forex.
Najua siwezi kui-master, siko interested nayo. So waachie wenye nayo, wanaoweza.
Tusiaminishane kuwa forex ni utapeli. Ukiliwa kosa ni lako, kufanya kitu usichokiweza wala kukijua.
Kila la kheri hukondo ukome kuinvest kwenye vitu ambavyo huna knowledge navyo . sio kwa vile wewe ulishindwa ina maana matokeo yatabaki ya kufail kwa wengine noo ni wewe na mind yako hakuna cha rahis hapa duniani
kabisa asante mkuu tena ukaeee nayo mbalii kama kituo cha kupigia kura mita 700 awayKila la kheri huko
mfano mzuri sana nimeuelewaNakumbuka nikiwa shule kuna washkaji walikuwa hawasomi kabisa hesababu ukiwauliza sababu
wanakuambia ni ngumu wengine wanasema hawaelewi wengine wanasema hawana kichwa cha hesabu
mwisho wa siku walitakiwa wawe na 2 au 3 wanaishia kuwa na 4 tu
Wengine wanasema maisha magumu kijijini lakini wengine ndio wanaenda kijijini na wanatusua
wengine wanasema vyuma vimekaza wengine wanatafuta mademu wawahonge hela nyingi nyingi tu
Mwisho wasiku unajikuta haujafika mwisho wa safari maana unawacheka wale wanaogombaniana kupanda ndani ya gari
Hapa mjini ,Utavishwa chupi na pesa za wanaume,kitu hukifanyi ,hujaombwa mtaji, shobo za nini. Bro sio kila mtu lazima auze vitumbua mchicha au matikiti. Kama hakuna sheria yoyote inayovunjwa kila mtu afanye anachoweza fainali uzeeni.sikatai upo sahihi..kwenye FOREX mimi ni mweupe kama maziwa au Theluji sijui A wala Z ki ufupi sna nijualo so sikupingi.
Silijui mdaumkuu hujui jina la Kapiteniiiiiiiiiii rubani wa haya mafekeche fekeche 🤣 🤣