Mnachokitafuta kwenye forex mtakipata endeleeni

Mnachokitafuta kwenye forex mtakipata endeleeni

Kitu chochote kinachokuahidi kupata hela bila ya kufanya kazi (kuuza bidhaa au kutoa huduma flani) ni uongo mtupu...hii nilijifunza kipindi flani nilivyonunuaga hisa za voda baada kupigiwa sana promo...hahaa...sitasahau ila nilifanikiwa kuziuza japo kwa hasara
 
Mkuu naomba niunganishe na hilo chimbo la 7000
machimbo yapo mengi mkuuu..ukichukua mzigo anzia PC 100 unapata hata hapo hapo unapochukuaga ongeza tu idadi fikisha PC 100 watakupa kwa bei hiyo
 
Kitu chochote kinachokuahidi kupata hela bila ya kufanya kazi (kuuza bidhaa au kutoa huduma flani) ni uongo mtupu...hii nilijifunza kipindi flani nilivyonunuaga hisa za voda baada kupigiwa sana promo...hahaa...sitasahau ila nilifanikiwa kuziuza japo kwa hasara
ndo ukome kuinvest kwenye vitu ambavyo huna knowledge navyo . sio kwa vile wewe ulishindwa ina maana matokeo yatabaki ya kufail kwa wengine noo ni wewe na mind yako hakuna cha rahis hapa duniani
 
Forex unanunua na kuuza fedha ni kama vile bureau ifanyavyo sasa hapo utapeli uko wapi? Mtu akishindwa soma soko akala hasara hiyo ni tatizo lake siyo utapeli
Kitu chochote kinachokuahidi kupata hela bila ya kufanya kazi (kuuza bidhaa au kutoa huduma flani) ni uongo mtupu...hii nilijifunza kipindi flani nilivyonunuaga hisa za voda baada kupigiwa sana promo...hahaa...sitasahau ila nilifanikiwa kuziuza japo kwa hasara
 
Mkuu tusivunjiane heshima. Hakuna mahali nimekutusi. Ongea hoja, lete hoja.
Mimi nimeijua forex kabla Ontario hajaanza kufundisha watu. Kimsingi wewe ndio msukule kuliko hao unaowaita misukule. Hakuna anayedownload pesa, we work for it. Tunatumia akili na muda mwingi kwenye screen kuliko watu wa ofisi and we get paid for it.

Mi nina uhakika wa laki 2 na thelathini kila siku nitakayotrade and I trade thrice per week. Mi na wewe msukule ni nani?
Nina residual income nzuri kuliko wewe mpumbavu mmoja unaponda kitu usichokijua.

Kwa Ontario watu walilipa laki na 30 hata kama hujui kitu hiyo pesa imesharudi. Endelea kuwaza shit while we run the town
Unajuaje una income nzuri kuliko yeye?
 
kwa mtu ana e BET hiii kitu ya FOREX haimsumbui maana tayari ana vi knowledge,kwa sisi tusio jua hata ku bet mama Leo atapika wali au ugali...una BET na madogo leo maza anapika Ubwabwa maana umeona mchele kumbe ule mchele ni wa Jumapili usiku mezani unafunua hotpot unakutana na Nguna...ushachana mkeka hivyooo Kwa watu akam sisi ngumu sana
Namegundua wewe ni mweupe kuhusu forex! Yani forex ufananishe na kubet?
 
Nakumbuka nikiwa shule kuna washkaji walikuwa hawasomi kabisa hesababu ukiwauliza sababu
wanakuambia ni ngumu wengine wanasema hawaelewi wengine wanasema hawana kichwa cha hesabu
mwisho wa siku walitakiwa wawe na 2 au 3 wanaishia kuwa na 4 tu

Wengine wanasema maisha magumu kijijini lakini wengine ndio wanaenda kijijini na wanatusua
wengine wanasema vyuma vimekaza wengine wanatafuta mademu wawahonge hela nyingi nyingi tu

Mwisho wasiku unajikuta haujafika mwisho wa safari maana unawacheka wale wanaogombaniana kupanda ndani ya gari
 
Haiwezekani wote tukawa wataalamu wa biashara ya Forex, ukiona kimekushinda acha. Forex is real, mimi mwenyewe siwezi na sitakuja kujaribu hii kitu, ila najua ni biashara ipo siku nyingi na watu wanaendesha maisha yao kwa hii Forex.
Najua siwezi kui-master, siko interested nayo. So waachie wenye nayo, wanaoweza.
Tusiaminishane kuwa forex ni utapeli. Ukiliwa kosa ni lako, kufanya kitu usichokiweza wala kukijua.
Umeongea point Sana KIONGOZI, Ile kitu lazima usome kweli kweli Kwa sababu unaenda kufanya kazi na high Intelligent people a.k.a Market Maker.

Huwezi. Pata. Pesa bila kunua Marke Marker Methods. Kiufupi Mimi napenda na nilichukua miezi Sita kusoma tu bila kufanya chochote, nilipoanza Mengi nilihosoma niliyakuta na nimeanza $30 tu na sijaichoma
 
ndo ukome kuinvest kwenye vitu ambavyo huna knowledge navyo . sio kwa vile wewe ulishindwa ina maana matokeo yatabaki ya kufail kwa wengine noo ni wewe na mind yako hakuna cha rahis hapa duniani
Kila la kheri huko
 
Nakumbuka nikiwa shule kuna washkaji walikuwa hawasomi kabisa hesababu ukiwauliza sababu
wanakuambia ni ngumu wengine wanasema hawaelewi wengine wanasema hawana kichwa cha hesabu
mwisho wa siku walitakiwa wawe na 2 au 3 wanaishia kuwa na 4 tu

Wengine wanasema maisha magumu kijijini lakini wengine ndio wanaenda kijijini na wanatusua
wengine wanasema vyuma vimekaza wengine wanatafuta mademu wawahonge hela nyingi nyingi tu

Mwisho wasiku unajikuta haujafika mwisho wa safari maana unawacheka wale wanaogombaniana kupanda ndani ya gari
mfano mzuri sana nimeuelewa
 
Namegundua wewe ni mweupe kuhusu forex! Yani forex ufananishe na kubet?
sikatai upo sahihi..kwenye FOREX mimi ni mweupe kama maziwa au Theluji sijui A wala Z ki ufupi sna nijualo so sikupingi.
 
sikatai upo sahihi..kwenye FOREX mimi ni mweupe kama maziwa au Theluji sijui A wala Z ki ufupi sna nijualo so sikupingi.
Hapa mjini ,Utavishwa chupi na pesa za wanaume,kitu hukifanyi ,hujaombwa mtaji, shobo za nini. Bro sio kila mtu lazima auze vitumbua mchicha au matikiti. Kama hakuna sheria yoyote inayovunjwa kila mtu afanye anachoweza fainali uzeeni.

Mbona kuna kampuni nyingi za betting/gambling kila kona sijui biko tatu mzuka unajua nikiasi gani cha pesa kinapotea,?? Unajua risk iliyopo kwenye hiyo michezo mbona watu wanafanya na wanalipa kodi, Vip kuhuzu alliance global, kote huko utakuta watu wamejaa kikubwa nimahesabu ya jion ndio yatakwambia kama inalipa au hailipi. Mbona waziri mkuu alinunua hisa vodacome milion 20 soko limeenda vibaya utamlaumu wakati hujui hiyo pesa ametoa mfukoni mwake.

Kama unania ya kutoa msaada tafuta vijana wenye shida mtaani wape mtaji kisha wapangie kipi cha kufanya maana najua now unaingiza pesa nyingi kupitia tecno sio kutoa bla bla na hata hoja ulizoandika hazieleweki
 
Back
Top Bottom