Mnadeal vipi na hawa wenza wenye masharti kibao wakati wa tendo?

Mnadeal vipi na hawa wenza wenye masharti kibao wakati wa tendo?

Screenshot_20241010-172333_Quora.jpg
kama kwa mndewa kama huyu, mtoto akikaa chuma mboga si anaviringwa kama chatu?
 
Kuna dada mmoja nilimsotea sana kumpata,nilipompata kwa hasira kali sikuanza kwa kulemba si nikakita ikaingia yote,jamani akaanza kunifundisha,stimu ikakata na ikanibidi niishie goli mbili,qmmk eliza.
 
Sasa Braza Kede hivi Nini maana ya maneno haya: ananijulia, ananipa ninachotaka?
Haya siyo masharti hivyo ndivyo anavyo taka, kiufupi anakufundisha na wewe acha ubishi kubali kufundishika,
Kwa mfano nikweli hutakiwi kuingiza yote , pia inatakiwa usugue mwanzoni mwanzoni kwenye kona yaani kichwa pekee kinaweza kumtosheleza kiufupi watu wanamaumbile tofauti hivi mtu akikuwambia subiri Kwanza unaniumiza halafu wewe inaendelea huo ni uungwana kweli.
FUATA MAELEKEZO, MAELEKEZO SIO MASHARTI
ndio maana vijana wadogo wanatoka na watu wazima kwasababu wanafundishwa wanafunfishika ndipo wanaposikia raha.
Masharti ni Kama sitaki unibusu(nayo ni pointi je Kama unanuka mdomo)
Usinishike mati....t (nayo ni point je Kama yanauma)
Kama anapenda staili moja to ndio inayomfurahisha kwanini ulazimishe staili ambazo zinamboa mwenzako?
Anyway haya maswala ya kuonyesha ufundi kwenye mwili wa mwenzio yameanzia wapi?
Masharti ni Kama usinipapase, usivue nguo ZOTE, Zima taa, nk
Namalizia
ndoa na iheshimiwe na watu wote unzinzi ni dhambi omba Mungu akusaidie kuondoa hiyo kiu ya usherati iishe.Oa tulia na mwenzio
Mke wa mtu ni sumu
Mwanafunzi ni hatari
Ubakaji ni hatari
Punyeto inaathiri Nguvu za kiume
Kila Mara omba toba na rehema kwa dhambi unazozifanya.
 
Unakuta mtu ana masharti kama IMF hadi unakereka.

Ukiingiza yote anakwambia so hivyo. Toa nikuelekeze unatoa anakuambia haya weka hapo juujuu tu.

Ukienda kasi kidogo tu anakwambia aah so hivyo bwana.

Mwingine unamkuta mbonge la mshepu tacotaco unamwambia akae doggy style anakugomea kabisa unamsikia "we mwiko wako mrefu utaniumiza bana"

Half kutwa wanapiga picha za kuonesha mashepu yao mitandaoni ikija kwenye bed aaaahaa.

Inakata stimu sana. Unaweza kuchoka na kuamua kuvaa nguo zako utoke nduki mazima.
😭😭😭😭nimeanza na kulia kwanza huko Mjini Monduli nilipata pisi moja matata sana duuh ile ilikua balaa pisi unaichapa inakwambia ngoja kwanza tumbo inaunguruma,

Mara ngoja nikany$ kwanza
Akirudi ila unaiweka uishenyete tu unasikia yalaaah toa kwanza nna mshono ujue,

Haya unatakaje ooh nataka nikae hivi, haya unamuacha akae ukimpelekea tu anaruka huyoo na shuz^ juu ngoja nasikia kuhara alafu nna vidonda vya tumbo , aisee ukiangalia toto toto kweli ila duuuh mpaka hamu iliisha asee
 
Back
Top Bottom