Mnadeal vipi na hawa wenza wenye masharti kibao wakati wa tendo?

Mnadeal vipi na hawa wenza wenye masharti kibao wakati wa tendo?

Hii ni asili ya mtu anaekupemda kimasilahi. Yaani umpe kitu afu yeye anakuja kwako ili alonekane amekija.

Wengi huogopa kutanuliwa nanihili zao, wanatunza kwa ajili ya watu wanao wapenda, wako tayari wakuchue Ili umwage nje. Walishajua udhaifu wako, lets say kumwaga dakika 2 basi watadanya juu chini ukiingiza tu umwage Ili wabaki kama Bikila.

Nini cha kufanya.
1. Usimpe kitu hadi akupe. Au unampa mkiwa chumbani, hii ni biashara. Ajue kabisa akicheza anakosa.
2. Acha zinaa.
Hii Sawa kabisaa
Chadema itashika nchi kweli!
Hapana mkuu
 
Mi kama dereva ukinpa funguo za gari acha nifanye kazi yangu mi ndo ntajua wapi niweke gia,wapi nikanyage breki,wapi niende speed wap nipunguze

Mi ukinipangia masharti naenda vice versa
 
Mi sipendi kuwekewa masharti kikubwa nimfikishe kilimanjaro na avunje madafu ya kutosha
Over
 
Mi kama dereva ukinpa funguo za gari acha nifanye kazi yangu mi ndo ntajua wapi niweke gia,wapi nikanyage breki,wapi niende speed wap nipunguze

Mi ukinipangia masharti naenda vice versa
🤝🤝🤝
 
Mi kama dereva ukinpa funguo za gari acha nifanye kazi yangu mi ndo ntajua wapi niweke gia,wapi nikanyage breki,wapi niende speed wap nipunguze

Mi ukinipangia masharti naenda vice versa
ni sahihi kabisa
naunga mkono hoja
usizuiwe tena ikibidi uende unakotaka kwa spidi unayotaka wew dereva
kwa raha zako [kwa sauti ya mheshimiwa kingwendu]🤣🤣🤣
 
Anayekupenda atavumilia yote kikubwa aone umefurahia huduma yake.

dah! ubarikiwe ex wangu neema mtoto anajua yule hata kama utaki utaila tu.
 
Back
Top Bottom