Wakati wa Dr slaa kila mtu alijua Chadema inatisha na kuaminika ni chama cha ukombozi.Kwani Dr. Slaa alipokuwa Chadema mliwahi kukubali kuwa Chadema inakubalika?
Mama Samia kukubali kuonana na Chadema kwenu imekuwa nongwa tena?
Watu wa namna gani nyie? Ndiyo maana hampendi ripoti za CAG kusomwa hadharani.
Nyambafu!
Usiingilie uhuru wangu wa kikatiba kuwaza chochote shutup. Nini manufaa ya kula sambusa na juice za ikulu huku hamkubaliki?We jamaa unahangaika sana.
Sikia we ndugu, kwa vyovyote vile jifunze kukumbatia amani na utengamano wa Taifa na si chuki. Kama wakinywa Juice au wasipokunywa kikubwa Mh Rais kaonesha kupenda mshikamano wa Taifa, hilo ndio kubwa dogo wewe. Kwani mtu akija kwako kukutembelea ukampa Juice akanywa mkaongea mkabadilishana mawazo mkajenga undugu wenu au urafiki unataka umpe na nini tena ili ajione kapata kitu?
Hebu tawaliwa na amani dogo wewe, acha kila saa kuwaza chadema, ccm. Kuna mengi ya kuwaza au kuongea kama mTanzania bila kujali uccm wako au uchadema
Siwezi kujibizana na wewe uliyejaa chuki 24/7Usiingilie uhuru wangu wa kikatiba kuwaza chochote shutup. Nini manufaa ya kula sambusa na juice za ikulu huku hamkubaliki?
Taifa halijaparanyika, wapinzani hawana jipya kwa wananchi.MKUU ,kweli uhoni manufaa ya vyama kukutana na Rais hasa KATIKA kipindi hichi ambapo taifa limeparanganyika? Binafsi nahamini unajua Basi tu unafanya makusudi tu kwa ulichokiandika
Nimekudharau.Nakuambia hivi huna mamlaka ya kuingilia uhuru wangu juu ya suala lolote kaa kimya.
Wewe lazima ujitundike kwa kamba siku utakapoona Kamanda Mbowe akiteta na mama mambo muhimu ya nchi. Chato ni washamba hasa tule kinara waoItokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya Ccm mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?
Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto ?
Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za ceres.
Mnapiga risasi wasiokubalika? Wewe Zuzu kweli!Usiingilie uhuru wangu wa kikatiba kuwaza chochote shutup. Nini manufaa ya kula sambusa na juice za ikulu huku hamkubaliki?
Hahaaa kwani mwendazake anasemaje?Kisa tu atakunywa juice na sambusa?
Uzuri wapuuzi kama wewe mmebaki wa kuhesabu CCM. Mna machungu ya kufiwa na Dikteta aliyekuwa analazimisha kuonekana anapendwa ndani na nje ya chama. Kafa anaanikwa hadi mnaomba vikao vya kitchen party.Taifa halijaparanyika, wapinzani hawana jipya kwa wananchi.
Wanahamu ya kutembelea Ikulu ,hasa ile ya chamwino Dodoma ,wame miss sana kahawa ya jumba kuuItokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya Ccm mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?
Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto ?
Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za ceres.
Huyu mama amelelewa na wazazi mkuu,hana mawazo kama ya yule mchunga ng,ombe.Itokee mmetinga ikulu Magogoni au Chamwino Idodomya hivi wapinzani wa serikali ya Ccm mtapata manufaa gani ya kisiasa?
Kwamba sababu rais wa JMT amekubali kukutana na vyama vya upinzani ndio itakuwa sababu ya kuwapa boost kisiasa?
Wananchi watawakubali Chadema kama ilivyokuwa nyakati za Dk slaa? Nani atakuwa na imani na mtu kama Zitto ?
Jambo la msingi ambalo mnatakiwa kujitathimini, je wananchi bado wanawakubali? Mbona kwa siku za karibuni mkitoa matamko mbona wanawapuuza? Mkipata jibu ndio muende ikulu kubugia sambusa na juice za ceres.