farfat
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 258
- 498
Kwa zaidi ya miezi 5 nimepewa shoo mara tano wastani wa kila mwezi mara moja na hata shoo nikipewa inakuwa chini ya kiwango tofauti na muda tulikaa bila kufanya... najionea mauza uza..
Sasa basi na mimi nimepanga akinitaka yeye kama kawaida yake nimkazie mchezo tuone itakuwaje sijui nitajenga ama kubomoa.
Ushauri wenu wananzengo yamenishinda. Nawaza kutafuta mchepuko wa kujipozea nyepe nyepe
Sasa basi na mimi nimepanga akinitaka yeye kama kawaida yake nimkazie mchezo tuone itakuwaje sijui nitajenga ama kubomoa.
Ushauri wenu wananzengo yamenishinda. Nawaza kutafuta mchepuko wa kujipozea nyepe nyepe