Mnaishi vipi na Mwanamke anayekupangia siku za kupiga shoo?

Mnaishi vipi na Mwanamke anayekupangia siku za kupiga shoo?

Kwa uandishi huu, utakuwa umeoa ndio maana unakaa naye. ndio maana nachangia, la sivyo nisingechangia uzi wa aina hii.

Ukiona mkeo unamwomba tu shoo muda wote wewe tu, jua huwa humdhirishi, humfikishi kileleni. mwanamke yeyote anayefikishwa kileleni huwa anatamani aipate tena raha hiyo muda wowote akiwa na nafasi. ndio maana utakuta anakuhamasisha kula, anakupakulia chakula kingi, juisi anakuandalia nyingi, anataka unywe maji ya kutosha, anakujali, na akilala anakususia bugungutu lake kwenye mapaja likiwa halina nguo. inasemekana wanawake wengi huwa wanaona bora wasifanye kabis akuliko kufanya wasifike kileleni, wanasema mnawachafua tu na kuwaacha katikati na wanateseka.

Sisi wenzio, wake zetu hawalalagi kabisa na nguo za ndani kwa miaka mingi sana labda kama yupo bleed. ila kawaida, wakati mwingine sisi tu ndio tunachoka, utatukuta hata tunapoendesha gari tupo na karanga mbichi pembeni mara majuice ya ajabu mara chakula tunakula sana why? kwasababu tunajua karibia kila siku lazima kesho mashuka yakafuliwe upya. pambana, usimchukie, ila jua udhaifu wako uurekebishe, ukimwacha ataenda kwa mwingine atakayekuwa anamnpa everyday.

Kwa umri wangu imefika napiga mara 4 kwa wiki, na akili zetu zinakuwa fresh muda wote kwasababu tunalifurahia.
Umetisha Sana mkuu😂
 
When demand is higher supply huw low

Tafuta chaka sahau
 
Mleta mada Kuna uwezekano mkubwa shoo yako Ni mbovu Sana kitandani ndo maana mke anakususia

Nyie Ni wale wa dakika mbili wazungu hawa hapa na ikishalala ndo imetoka hiyo haiamka tena.

Nakushauri badilisha lifestyle yako bro uwe unapiga shoo za kibabe.
Fanya mazoezi( haswa ya kegel), kunywa maji kwa wingi na punguza kula vyakula vyenye mafuta mengi
 
Sio kila siku tena jamani sasa raha ya ndoa iko wapi
Kiongozi mzabzab mambo ni mengi, kuna kipindi nafasi ya kutosha inakuwepo inapigwa derby ya kariakoo karibu kila siku, kuna muda majukumu yako au yake au nyote Kwa pamoja yanawazidi mnaahirisha pambano.

Kuna ulezi wa watoto, baba kubanwa na kazi baadhi ya nyakati, ugonjwa na mengine mengi.

Ndoa si LELEMAMA
 
Kwa zaidi ya miezi 5 nimepewa shoo mara tano wastani wa kila mwezi mara moja na hata shoo nikipewa inakuwa chini ya kiwango tofauti na muda tulikaa bila kufanya... najionea mauza uza..

Sasa basi na mimi nimepanga akinitaka yeye kama kawaida yake nimkazie mchezo tuone itakuwaje sijui nitajenga ama kubomoa.

Ushauri wenu wananzengo yamenishinda. Nawaza kutafuta mchepuko wa kujipozea nyepe nyepe
MKUU POLE HATA MIMI HIYO INANIKUTA KUNA DEMU WANGU MMOJA NIKIOOMBA SHOO UTASIKIA NITAKWAMBIA MPAKA YEYE APATE NAFASI TOFAUTI NA ZAMANI ITS MEANS HUYO ANA RATIBA NA WENGINE.ISHI NAYE KWA AKILI WANAWAKE NI KIUMBE CHA AJABU SANA HUBADILIKA KAMA KINYONGA
 
Kama vipi na wewe endelea na mishe zako usiomuombe wala nini...Ukiona na yeye ana mishe zake basi ruhusa kutafuta mwanamke mwingine nje maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom