kwa uandishi huu, utakuwa umeoa ndio maana unakaa naye. ndio maana nachangia, la sivyo nisingechangia uzi wa aina hii.
ukiona mkeo unamwomba tu shoo muda wote wewe tu, jua huwa humdhirishi, humfikishi kileleni. mwanamke yeyote anayefikishwa kileleni huwa anatamani aipate tena raha hiyo muda wowote akiwa na nafasi. ndio maana utakuta anakuhamasisha kula, anakupakulia chakula kingi, juisi anakuandalia nyingi, anataka unywe maji ya kutosha, anakujali, na akilala anakususia bugungutu lake kwenye mapaja likiwa halina nguo. inasemekana wanawake wengi huwa wanaona bora wasifanye kabis akuliko kufanya wasifike kileleni, wanasema mnawachafua tu na kuwaacha katikati na wanateseka.
sisi wenzio, wake zetu hawalalagi kabisa na nguo za ndani kwa miaka mingi sana labda kama yupo bleed. ila kawaida, wakati mwingine sisi tu ndio tunachoka, utatukuta hata tunapoendesha gari tupo na karanga mbichi pembeni mara majuice ya ajabu mara chakula tunakula sana why? kwasababu tunajua karibia kila siku lazima kesho mashuka yakafuliwe upya. pambana, usimchukie, ila jua udhaifu wako uurekebishe, ukimwacha ataenda kwa mwingine atakayekuwa anamnpa everyday.
kwa umri wangu imefika napiga mara 4 kwa wiki, na akili zetu zinakuwa fresh muda wote kwasababu tunalifurahia.