Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Hayati Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira
Wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia
Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia
Wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni
Jana Magufuli kajizolea Tatu bila
Wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia
Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia
Wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni
Jana Magufuli kajizolea Tatu bila