Mnajisikiaje kuona msiyempenda ndiye anashangiliwa na wapiga kura?

Mnajisikiaje kuona msiyempenda ndiye anashangiliwa na wapiga kura?

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Hayati Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

Wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

Wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana Magufuli kajizolea Tatu bila
 
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana magufuli kajizolea Tatu bila
inashangaza sana, wakati wa ufunguzi wa uwanja wa ndege (terminal 3) na hospitali ya mloganzila, jpm alisukuma credit zote kwa Kikwete. Leo hii vijana wadogo washenzi kabisa wanazisukumiza mahali kusiko
 
Hii habari naona imekuwa posted mara ya 8 sasa hapa JF
Jamani huyo mtu kama hamuwezi kumtumia Gwajima amfufue ndio basi tena, hata ashangiliwe namna gani haisaidii
Tunashangilia power aliyo nayo. Mwl. Nyerere alipata tuzo, kwani yupo?
JPM ana nguvu mara mia zaidi ya walio hai, hapo vipi?
 
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana magufuli kajizolea Tatu bila

Pamoja kwamba natofautiana na Magufuli, ila huu uongozi ni big failiure. Deni Trilioni 91 mpaka mishahara imechelewa, halafu rais anasema ni vijimaneno.
 
Back
Top Bottom