Mnajisikiaje kuona msiyempenda ndiye anashangiliwa na wapiga kura?

Mnajisikiaje kuona msiyempenda ndiye anashangiliwa na wapiga kura?

Mada zinabadilika:

kutoka hawawezi kutekeleza miradi ya jpm;
kutoka wanaihujumu kwajuwa hawampendi jpm;
kutoka hawana uwezo wa fedha;
kutoka wezi;
kutoka watu wa madili;
kutoka wauza majenereta;
Na sasa zamu ya habari ya kupigiwa makofi mama jpm na jpm mwenyewe.......hahahahahahahaha!


Go Makamba, go!!!
Endelea kuwatwisha mindoige ya ukweli bila kuwajibu matusi yao, kama ulivyosema jana, hadi akili ziwakae sawa!!

Go mama Samia, go!!
Endelea kuimalizia miradi yooote bila kujali ni vipi wanakutukana na kutamani ushindwe.......wami tayari na mengine kibao tu, lakini wapo kimyaaaaaaaa, kama wakiongea basi hujifanya kumtaja jpm muda wote kwa lengo la kukukatisha tamaa au labda eti uchukie (kwa lipi haswa kwani?!!!). Mama wa watu uko bardiii; kumchukii mtu wala hauna muda nao.

Alisema msanii wa bongo flavour, professor j, kuwa ili ufanikiwe unahitaji maadui zaidi.........Acha maadui a.k.a wachawi waibuke zaidi na watendee mema tu.
 
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana magufuli kajizolea Tatu bila
 
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana magufuli kajizolea Tatu bila
Kwanza hao washangiliaji siyo wapiga kura. Hao si UVCCM ambao ndiyo huwa wanatumika kuua na kuteka watu?

Uongozi wa sasa, sio perfect, lakini hilo bado haliwezi kumfabya mwenye akili asufie ule uongozi wa kishetani uliopita, uongozi wa kuua, kuteka watu, kupora fedha za watu, na yeye kiongozi binafsi kuiba 1.5 trilioni na nyingine nyingi kutoka kwa aliobambikia kesi za uhujumu uchumi.

Nilifikiri wanaongelewa watu wenye akili. Kushangiliwa na mjinga/mwendawazimu huwa ina msaada wowote?

'CCM INAPENDWA ZAIDI NA WAJINGA' - TWAWEZA. Shangilio la mjinga na mtu mnafiki huwa halina maana yoyote.
 
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana magufuli kajizolea Tatu bila
'Kila zama na kitabu chake' Ali Hassan Mwingi. Acheni hizo nonsense, mwacheni Magufuli apumzike.
 
Alipotajwa Magufuli tu, watu wakalipuka kwa kelele
 
Mada zinabadilika:

kutoka hawawezi kutekeleza miradi ya jpm;
kutoka wanaihujumu kwajuwa hawampendi jpm;
kutoka hawana uwezo wa fedha;
kutoka wezi;
kutoka watu wa madili;
kutoka wauza majenereta;
Na sasa zamu ya habari ya kupigiwa makofi mama jpm na jpm mwenyewe.......hahahahahahahaha!


Go Makamba, go!!!
Endelea kuwatwisha mindoige ya ukweli bila kuwajibu matusi yao, kama ulivyosema jana, hadi akili ziwakae sawa!!

Go mama Samia, go!!
Endelea kuimalizia miradi yooote bila kujali ni vipi wanakutukana na kutamani ushindwe.......wami tayari na mengine kibao tu, lakini wapo kimyaaaaaaaa, kama wakiongea basi hujifanya kumtaja jpm muda wote kwa lengo la kukukatisha tamaa au labda eti uchukie (kwa lipi haswa kwani?!!!). Mama wa watu uko bardiii; kumchukii mtu wala hauna muda nao.

Alisema msanii wa bongo flavour, professor j, kuwa ili ufanikiwe unahitaji maadui zaidi.........Acha maadui a.k.a wachawi waibuke zaidi na watendee mema tu.
Huyo mama yeye anawachukia akina Mbowe hadi kuwafunguliakesi zisizo na dhamana
 
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana magufuli kajizolea Tatu bila
Sasa kama unaabudu wafu unataka Kila mtu awaabudu?

Kwani lazima niabudu unachoabudu wewe?
 
Aliyemdanganya SASHA kwamba kutambua juhudi za JPM kunamshushia umaarufu alimdanganya sana, kifupi anampoteza na kumfanya aonekana kituko
Na nyie jitahidini basi kuongeza Kasi ya kumtukuza huyo mfu wenu ikiwezekana muwe mnafanya ibada pale kaburini Kila jumapili
 
inashangaza sana, wakati wa ufunguzi wa uwanja wa ndege (terminal 3) na hospitali ya mloganzila, jpm alisukuma credit zote kwa Kikwete. Lao hii vijana wadogo washenzi kabisa wanazisukumiza mahali kusiko
Mtumieni Gwajima amfufue jamani au haiwezekani
 
Wacha we Ina maana hua anachomoka kule kaburini anakuja kuwachapa bakora? Sasa SI ndio mwambie arudi ikulu?
watu kweli mnahali mbaya mtu amekufa ila bado ukisikia katajwa tu mnanuna na kuogopa. Yule harudi tena ndugu yangu endeleeni na kazi wala msiogope..
 
Mwamba alikua na mapungufu yake kama mwanadamu mwingine yoyoye,lakini tukija kwenye uhalisia mambo yalikua yanaenda! Zile habari za "Unanijua mimi ni nani? Hazikuwepo! Maofisi wale "Miungu watu" hawakuwepo...

Binafsi naona bora mpigaji anayefanya mambo yaende kuliko mpigaji anayejionesha waziwazi kila mtu anaona na mambo hayaendi..sasa hivi mitaani kuna watu wanasema bora enzi za mwendazake.
 
Aliyemdanganya SASHA kwamba kutambua juhudi za JPM kunamshushia umaarufu alimdanganya sana, kifupi anampoteza na kumfanya aonekana kituko
Rais Samia anachukiwa na sababu mojawapo ni hii ya kumdhihaki Dkt Magufuli waziwazi, ila muda anao wa kujirekebisha
 
😂
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira

wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia

Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia

wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni

Jana magufuli kajizolea Tatu bila
😂😂😂😂😂
Kuwa sukuma gang inahitaji moyo kama wako
 
Mwamba alikua na mapungufu yake kama mwanadamu mwingine yoyoye,lakini tukija kwenye uhalisia mambo yalikua yanaenda! Zile habari za "Unanijua mimi ni nani? Hazikuwepo! Maofisi wale "Miungu watu" hawakuwepo...

Binafsi naona bora mpigaji anayefanya mambo yaende kuliko mpigaji anayejionesha waziwazi kila mtu anaona na mambo hayaendi..sasa hivi mitaani kuna watu wanasema bora enzi za mwendazake.
Wanaosema hivyo ni watu kama wewe
 
Back
Top Bottom