Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Halafu ukatae kuwa wewe siyo shoga mbobevuWanajitia madole na kujinusa!
Hawa kina marope ni watu wa hovyo sana
inashangaza sana, wakati wa ufunguzi wa uwanja wa ndege (terminal 3) na hospitali ya mloganzila, jpm alisukuma credit zote kwa Kikwete. Leo hii vijana wadogo washenzi kabisa wanazisukumiza mahali kusikoMagufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira
wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia
Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia
wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni
Jana magufuli kajizolea Tatu bila
hatutaki raisi muuaji, mtekaji na anayepiga watu risasi. aliyekerwa sana na msiba ule akalie huko chatoWanajitia madole na kujinusa!
Hawa kina marope ni watu wa hovyo sana
Mbona wewe ndio unalia?hatutaki raisi muuaji, mtekaji na anayepiga watu risasi. aliyekerwa sana na msiba ule akalie huko chato
nimlilie muuji?Mbona wewe ndio unalia?
Sawa amekwenda, lakini ana nguvu mara mia zaidi ya walio hai. Hapo unasemaje?Mataga
Gangs of zilankende land
Mkubakiane na matokeo. AMESHA kwenda acheni waliopo waendeleze gurudumu
Tunashangilia power aliyo nayo. Mwl. Nyerere alipata tuzo, kwani yupo?Hii habari naona imekuwa posted mara ya 8 sasa hapa JF
Jamani huyo mtu kama hamuwezi kumtumia Gwajima amfufue ndio basi tena, hata ashangiliwe namna gani haisaidii
Wenye nguvu ni walioko madarakaniSawa amekwenda, lakini ana nguvu mara mia zaidi ya walio hai. Hapo unasemaje?
Magufuli anawaumbua akiwa amekufa mlitegemea mradi huo ungepaisha majina yenu lkn wananchi mnaendelea kuwatia hasira
wananchi wanaona wazi waliyempenda na aliyekuwa rafiki yao anaandamwa na vijana wa mjini kwa nn mnajiaibisha kiasi hiki badilkeni someni alama Za nyakati wenye nchi ni wananchi na wameshituka na wanataka mabadiliko kuendelea kuwahadaa hakutawasaidia
Aonywaye Mara nyingi akishupaza shingo yake atavunjika ghafla bila kupata dawa. wajumbe wa CCM wamewapa ujumbe hamjasikia
wananchi wanawapa ujumbe hamtaki kusikia mmevika pamba masikioni
Jana magufuli kajizolea Tatu bila
Nyerere tunaenzi falsafa zake za umoja na mshikamanoTunashangilia power aliyo nayo. Mwl. Nyerere alipata tuzo, kwani yupo?
JPM ana nguvu mara mia zaidi ya walio hai, hapo vipi?