kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
[emoji14][emoji14][emoji14] bado unauza nguo mbezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ule uzi ilibidi niandike vile Manake mambo yakishakua mengi huku jf
Thanks God imeniokoa nazurura humu kwa amani kabisa
By the way mwambie jamaa nimeolewa Jamani and am negative [emoji28][emoji28]
Kwani tuna mabawa tena basi………tuliruka……..tukatua…….mabawa yakang’ofoka sasa tupo ndani ya vichuguu………….😀Sijui kwa nini nimewakumbuka member hawa , I hope walichangia sana mimi kujiunga na jf 2013 kabla ya I'd hii, walikua wanatrend Miss Neddy Khantwe [USER=192494]masai dada CharmingLady Preta atoto KING'asti
Valentina Madam B Evelyn Salt ladyfurahia CharmingLady ram
Hivi ule uzi upo humu jamvini bado?Gilesi namkumbuka Mwenye inye inatingishikatingishika 😀
Wazee wa Desert.Anhaaa nimekumbuka
Dunia ina mambo mengi sana
Mkuranga najikumbuka na Yule dada Muuza Saa maarufu
Hivi ule uzi upo humu jamvini bado?
Wazee wa kudownload pesa.The Bold.
Lara1 siyo Mange.Heeee mange ????
Tobaaaa sikuwahi kujua
Usibishe kitu usichokijuwa, Lara1 ni washkaji wa Mange tangu Uturn.Ni Mange Kimambi kuna uzi mmoja aliandika alivyokutana na huyo mzungu Dubai
Usibishe kitu usichokijuwa, Lara1 ni washkaji wa Mange tangu Uturn.
Hii tabia ya uchokozi umeianza lini babe...🤔Hivi ule uzi upo humu jamvini bado?
Wakwetu ebupitia hapa GENTAMYCINEPopoma anakera jamani popoma unaboaaaa
😅 si ni leo tu BabuHii tabia ya uchokozi umeianza lini babe...🤔
Nitag basiUtakuwepo hauwezi kufutwa ila una jina la Bujibuji ndiyo OP 😀 .