Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Jf ya kpnd hiki na miaka kurudi nyuma hadi 2012 ndo ilikua jf, nakumbuka hata admin wa rahatupu blog alikuaga na account humu, mdada fln hv nmesahau jina lake. Kulikua kuna utofauti kati ya wakubwa na wadogo, sikuhizi wote ni humohumo
Nancy
 
Comrade hebu taratibu alooh
 
Kuumbwa mbaya sio kosa ni muumbaji mwenyewe ndo aliamua iwe hivyo.
Na haizuwii mtu kuwa na standards zake.
 
mmmh ndo mambo yalifika huku?!! Duuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…