Mnakumbuka bifu kali Jamvini kati ya Gentamycime na Nifah 2014-2015

Hebu muacheni Genta arelax na maisha yake.

Kutwa kumuanzishia nyuzi. Sio lazima wote Humu tuanzishe threads, wengine mnaweza Baki kuwa wachangiaji kwenye comments tu.
 
[emoji23][emoji23]sifa zitakuuwa wewe mzee
 
Watu walikuwa wanavimbaaa, kukutana nae anakupa procedures kama laboratory rules, ila ukikutana nae sasa unabaki kungojea ukidhan kuna mwingine anakuja sio yeye!
Vingereza vilikuwa vingiii, kuongelea miradi (projects) kwingiii! Ukijipindua kidogo hata usafiri hana
Ila JF viva
 
Enzi hizo ulikuwa unachelewa kulala alafu unaamka mapema unaingia JF inakufariji sababu unalala sebuleni sofani kwenye nyumba ambayo dadaako ndo alikuwa ameolewa akakutoa kijijini akakuleta mjini ili uwe unampeleka na kumchukua Junior shuleni
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­
Nacheka na kulia kwa wakati mmoja
 
aseee,umewapa za uso ila bado imo imebadili IDs tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…