Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Sani ndo gazeti nililokuwa napenda kusoma na limenisaidia sana nikawa naweza kusoma haraka bila kukwama kwama nikiwa darasa la kwanza
Walikuwa wajinga wale. Kwa mwezi lilikuwa linatoka ×1. Harafu eti wanatoa stori nzuuuri hawaimalizii wanasema itaendelea toleo lijalo.
 
Tangazo la rangi : bwana Moses nimepata mpangaji atakae nilipa kodi ya nyumba yangu hivi lazima uondoke
Aaaaa hapana mzee nimepaka nyumba hivi karibuni naiomba nikae mpaka itakapo haribika Aaaaa haiwezi kuwa taabu hiki ni kipindi cha joto alafu maska baade hii rangi lazima itaharibika atanirudishia nyumba yangu Sawa Sawa mobile lako limekubaliwa
Kama namuona Zembwela na Mashaka!
 
Translation " baba yake chale ana viraka viwili vinaulizana umekuja lini, nimekuja Jana nikashinda leoooooooo" kale ka beat ya wimbo kipindi cha michezo RTD sijui kama kale ka beat bado kapo
Mm ninako kinaitwa cotton candy
 
Pampula na kishoka bila kumsahau Baba ubaya ndugu yake kaisi wazee wa valangati. Toto kijiwe stick mzee wa kata kei ya magotini. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pampula mda wote kalewa. Toto kijiwe stick alikua na baba ake anaitwa ndondocha, like father like son
 
Acha bag
Mimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia

Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.

Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?

Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu

Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Acha bange wewe
 
Lile la bi Gladys wa OMO
Kuna Bi. MWAJUMA
yule Mzungu anasema "Omo ni nzuri sana, ahaaah..ni nzuri sana sana"
 
Buzz ni bomba, kuwa mjanja. Pata buzz

Tritel..the better choice
Vodacom: the people's voice, the peoples choice

Celtel; making life better
 
Nani anakumbuka kile kiclip kabla ya kipindi cha jiji letu ITV, kuna jamaa anajikuna
 
Na leo sikukuu nimekumbuka tangazo la 'Serengeti serengeti' lichui linatamba
 
Mm nakumbuka kuna mafuta ya mgando ya kupakaa yalikuwa kwenye chupa
 
Back
Top Bottom