jmi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 532
- 468
Mimi sikuzinunua nilihisi nikizitumia ntatembea nikikata kiuno.[emoji23] [emoji23] [emoji14] [emoji14]Ebwana zile losheni zilikuwa zinakata viuno balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sikuzinunua nilihisi nikizitumia ntatembea nikikata kiuno.[emoji23] [emoji23] [emoji14] [emoji14]Ebwana zile losheni zilikuwa zinakata viuno balaa
Walikuwa wajinga wale. Kwa mwezi lilikuwa linatoka ×1. Harafu eti wanatoa stori nzuuuri hawaimalizii wanasema itaendelea toleo lijalo.Sani ndo gazeti nililokuwa napenda kusoma na limenisaidia sana nikawa naweza kusoma haraka bila kukwama kwama nikiwa darasa la kwanza
Kama namuona Zembwela na Mashaka!Tangazo la rangi : bwana Moses nimepata mpangaji atakae nilipa kodi ya nyumba yangu hivi lazima uondoke
Aaaaa hapana mzee nimepaka nyumba hivi karibuni naiomba nikae mpaka itakapo haribika Aaaaa haiwezi kuwa taabu hiki ni kipindi cha joto alafu maska baade hii rangi lazima itaharibika atanirudishia nyumba yangu Sawa Sawa mobile lako limekubaliwa
Mm ninako kinaitwa cotton candyTranslation " baba yake chale ana viraka viwili vinaulizana umekuja lini, nimekuja Jana nikashinda leoooooooo" kale ka beat ya wimbo kipindi cha michezo RTD sijui kama kale ka beat bado kapo
Pampula mda wote kalewa. Toto kijiwe stick alikua na baba ake anaitwa ndondocha, like father like sonPampula na kishoka bila kumsahau Baba ubaya ndugu yake kaisi wazee wa valangati. Toto kijiwe stick mzee wa kata kei ya magotini. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia
Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.
Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?
Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu
Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Translation " baba yake chale ana viraka viwili vinaulizana umekuja lini, nimekuja Jana nikashinda leoooooooo" kale ka beat ya wimbo kipindi cha michezo RTD sijui kama kale ka beat bado kapo
4T ndilla-BongoKuna gazet moja la picha walikuwa wanatoa sana historia ya kifo cha 2pac kwa njia ya michoro....
Linda Na Obi , Mayuku , Chino[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua nampenda sana LODILOFA .....aisha na betina....ngedere...prof ndumilakuwili
80sLinda Na Obi , Mayuku , Chino