Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

Mimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia

Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.

Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?

Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu

Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kumbe watoto wa shule ya msingi mmejaa humu..!
 
Kale ka beat huwezi amini ninacho na ndio ringtone ya simu yangu..kila nkipigiwa simu naona wazee wananiangalia[emoji3] [emoji28] [emoji3] na kale ka Majira ninacho pia
Mkuu nisaidie hizo beat dah gone are the days
 
"Karibuni, watotooo wote
Kuwa nasi, Kipindi cha watotooo
Msikose kipindiii cha watotoo
 
Katika kipindi cha jambo, ndugu wazazi na marafiki katka kipindi cha jambo.



Saa tisa mchana,

Shambani shambani ,mazao bora shambani


Saa moja jioni
Ezekiel malongo beki wa kupanda na kushuka.
Haya twendeni shambàaani[emoji443][emoji443]
Wananchi tukaliiiiiiiiime[emoji443][emoji443]
Tusikae mitaani-taaaaniiiiii[emoji443][emoji443]
.....
Ilikuwa safi sana hii, ndio nilikuwa natoka shule pale Meru Primary mida ya saa tusa mchana njaa inachapa kishenzi.
 
Kibuku oyeee hongera hongera!! Mchezo wa kina jangala,jongo na kina kidawa!
[emoji445] [emoji445] Tumieni kibuuuku ni pombe boraaaaa,[emoji445] [emoji445] tumia kibuku ni pombe booora, [emoji445] [emoji445] tumia kibuku ni pombe booora[emoji445] [emoji445]
 
Mimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia

Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.

Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?

Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu

Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha Umeua kaka
 
Back
Top Bottom