NYANYADO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 3,804
- 2,482
Asante sana kiongoziPOA NENDA INBOXIN KWAKO WHATSAPP IPO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kiongoziPOA NENDA INBOXIN KWAKO WHATSAPP IPO
POAPO........KARIBUAsante sana kiongozi
Safari lager premier legue .
Hivi kumbe watoto wa shule ya msingi mmejaa humu..!Mimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia
Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.
Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?
Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu
Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nisaidie hizo beat dah gone are the daysKale ka beat huwezi amini ninacho na ndio ringtone ya simu yangu..kila nkipigiwa simu naona wazee wananiangalia[emoji3] [emoji28] [emoji3] na kale ka Majira ninacho pia
Kale ka beat huwezi amini ninacho na ndio ringtone ya simu yangu..kila nkipigiwa simu naona wazee wananiangalia[emoji3] [emoji28] [emoji3] na kale ka Majira ninacho pia
Haya twendeni shambàaani[emoji443][emoji443]Katika kipindi cha jambo, ndugu wazazi na marafiki katka kipindi cha jambo.
Saa tisa mchana,
Shambani shambani ,mazao bora shambani
Saa moja jioni
Ezekiel malongo beki wa kupanda na kushuka.
[emoji445] [emoji445] Tumieni kibuuuku ni pombe boraaaaa,[emoji445] [emoji445] tumia kibuku ni pombe booora, [emoji445] [emoji445] tumia kibuku ni pombe booora[emoji445] [emoji445]Kibuku oyeee hongera hongera!! Mchezo wa kina jangala,jongo na kina kidawa!
Hahahahahaha umeua kakaWanafunzi walioomba kujiunga na Elimu ya Juu wengi wamekosa nafasi.. Halafu unatuletea habari za Chai Jaba
HahahahahahaMbona jukwaa linaruhusu uzi huu.
Usikute hata waliokosa hawana mawazo saaana kama wewe.Relax.
Hahahahahaha Umeua kakaMimi sikwepo enzi zenu ila ntaweka niliyowahi yasikia
Continental ..the quality to talk about.
Startimes...ulimwengu wa digitaliiiii
Vodacom...kazi ni kwako..power to you.
Fountain view academy ni kisima cha mafanikio..hili nalipenda hadi kesho.
Je unamaumivu flue..je unamaumivu ya kichwa..Tumia dawa tatu. Mimi natumia dawa tatu wewe je?
Attentiiiiion!!!nimelazimika kutangaza vita dhidi ya wadudu wote warukao na watambaaaooo. Tangazo la Rungu
Airtel..babalao
Tigo...express your self
Buzz...buzz ni bomba
Cloud's fm tunakufungulia dunia.
Tembomaster card. ATM crdb
Wakwe: kijana unakazi?
Kijana: kazi ninayo mzee
Wakwe: je unanyumba?
Kijana: nyumba ninayo mzee
Mkwe: una gari?
Kijana: gari ninalo gx 100
Mkwe: je unayo Tembomaster card?
Kijana : mmmh eeeh aaa hiyo mzee eeeh
Mkwe : kijana katika ulimwengu huuu huna Tembomaster card unataka kumchukua binti yetu aaa aaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jambo katikati alkua anakatika hyoUmenikumbusha tangazo la rosheni ya JAMBO kuna jambo kubwa,jambo ndogo na JAMBO KATIKATI[huyu ndo alikua ananifurahisha]
Mimi naitwa jambo mdogo na wewe jeUmenikumbusha tangazo la rosheni ya JAMBO kuna jambo kubwa,jambo ndogo na JAMBO KATIKATI[huyu ndo Aliya ananifurahisha]