Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo stress zako mkuu,acha watu wafurahie jukwaa.Wanafunzi walioomba kujiunga na Elimu ya Juu wengi wamekosa nafasi.. Halafu unatuletea habari za Chai Jaba
Absolutely absolutely RFA! RFA!This is RFA RFA kutoka Mwanza Tanzania...........iliskika sauti flan hv nzito then inakuja sauti nyingine ya kelele ikisema........ Mwaka 2000 .......Old is Gold
Masahihisho: Siyo 'Levora' ni 'REVOLA' ambayo ilikuwa ni aina ya sabuni kama Lux, Gardenia na LifebuoyMambo vipi wanajamii.
Kwa wale vijana wenzangu tuliozaliwa enzi za Nyerere na mwinyi kuna matangazo haya utakuwa unayakumbuka. Tangazo la kwanza ni lile linaloanza hivii "Tueleze siri ya Mafanikio yako", kisha yule mrembo anajibu "Sio siri ni Levora" nakumbuka kipindi kile watu walisema kuwa yule binti ni mtoto wa tajiri Mengi.
Tangazo la Pili ni la chai jaba. Nadhani kama Diamond platnum angekuwa anafanya muziki kipindi kile wangempa hii a.k.a "Chai jaba''.
Kwa aliye na Video ama audio ya matangazo haya atuwekee hapa tujikumbushie na pia kama unayakumbuka matangazo mengine yaliyovuma enzi zile hebu tutajie hapo chini.
Hivi alikuwa miriam odemba yule eti?Masahihisho: Siyo 'Levora' ni 'REVOLA' ambayo ilikuwa ni aina ya sabuni kama Lux, Gardenia na Lifebuoy
Nadhani lile tangazo lilikuwepo kable ya Mirima Odemba kutambulikaHivi alikuwa miriam odemba yule eti?
Jambo lotionEbwana zile losheni zilikuwa zinakata viuno balaa
Gaseti la saniGazeti la mfanyakazi. Halafu hapo ifike game ya simba na yanga walikuwa wanaremba balaa! Mechi ya bush star na born town gazetin yani nlikuwa napata hisia km mechi ya kweli vile.
Dah tangazo la HIV linaannza milango ya kanisa inafunguka huku wimbo wa majonzi unapigwa halafu pale madhabahuni mtoto anabatizwa huku kuna ndg kadhaa na ndg mmoja nadhan ndio alikuwa ameathirika sijuiGaseti la sani
Dawa ya maumivu dawa yenye nguvu dawa ni dawanol,hebu jitokeze simama mbele ya watuuu
mgongo wangu waniuma maumivu tele...
Baiskeli ni sunshine(lafudhi ya kisukuma).Mambo vipi wanajamii.
Kwa wale vijana wenzangu tuliozaliwa enzi za Nyerere na mwinyi kuna matangazo haya utakuwa unayakumbuka. Tangazo la kwanza ni lile linaloanza hivii "Tueleze siri ya Mafanikio yako", kisha yule mrembo anajibu "Sio siri ni Levora" nakumbuka kipindi kile watu walisema kuwa yule binti ni mtoto wa tajiri Mengi.
Tangazo la Pili ni la chai jaba. Nadhani kama Diamond platnum angekuwa anafanya muziki kipindi kile wangempa hii a.k.a "Chai jaba''.
Kwa aliye na Video ama audio ya matangazo haya atuwekee hapa tujikumbushie na pia kama unayakumbuka matangazo mengine yaliyovuma enzi zile hebu tutajie hapo chini.
Na chupi za vip!Haya matangazo yanakumbusha hata zile bidhaa zilizotoweka duniani kama vile sabuni ya MBUNJU, KODRAI na mafuta ya RAYS!!!
...."Kwa hiyo kumbuka, usiseme chai tuuuuChai bora, kilele cha uboraa,
chai bora, utafurahia,
iwe na maziwa, isiwe na maziwaa,
chai bora, utafurahiaaaa.
Naukumbuka huu wimbo wa tangazoPoa kk ngoja nikukumbushe tangazo ulilopigwa kofi na mzazi wako(pole lkn)[emoji1] [emoji1] lilikuwa linaimba hivi ngoja nikukumbushe.
Nakupenda mpenzi wanguu
Nakupenda kwa vitendoo
Nimekupa moyo wanguu
Nitakulinda na kinga.