Mnaoa Malaya halafu mnatarajia amani katika ndoa . No. No., Nyumba ambayo ina mwanamke Malaya hakuna kupoa mpaka mmoja atangulie

Mnaoa Malaya halafu mnatarajia amani katika ndoa . No. No., Nyumba ambayo ina mwanamke Malaya hakuna kupoa mpaka mmoja atangulie

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Mwanamke umempokonya toka mikononi mwa mwanamke au wanaume wengi kwa chambo ya pesa na vitu then unamwoa.
Tulia tu ndugu hiyo ndoa hamtoboi.
Mwanamke umemkuta bar kaja kunywa pombe au soda ndugu kaja bar kufanya umalaya ila kwasasa ya akili yako finyu ukamwona anakunywa juice ukasema huyu ndio mke.
Tulia upigwe na kitu kizito.
Mwanamke amekosa soko kotekote amekimbilia kanisani wewe chap unamwoa.
Lazima ujue deeply kabisa sababu ya yeye kuwa muumini. Wengine wana vvu wanakuja kupata tumaini tu.
Mwanamke Malaya ukimwamgalia mitindo ya nywele zake tu unajua huyu malaya.
Mwanamke malaya hata harufu yake inathibitisha kuwa huyu malaya.
Mwanamke anakunywa pombe kwa ujinga wako unamwoa.
Kuna vibinti vimetoa mimba mpaka vimelaaniwa , wewe kwa ujinga wako na kukosa macho ya rohoni unamwoa. Ni heri umwoe binti mwenye mtoto kuliko kuoa malaya.
Dada zake binti, mama zake wadogo watakupa picha halisi ya huyo mchumba wako.
Kuna Jirani yangu mke wake anampa kila kitu lakini bodaboda wanammanua tu. Imeniuma sana nilitamani niende nikamfukuze yule mwanamke jamaa aoe mke mwingine
 
Nani kakuambia kila mwanamke anayekunywa pombe ni malaya,
Nipo na my one and only niliyemtoa bikra na kila jioni tunagonga mvinyo mwaka wa kumi sasa.
Mapenzi matamu😋😋😋😋
 
Naunga mkono hoja
Huwezi kuoa malaya nyumba ikawa na amani, na pia mwanamke hachungwi akiamua kukupa peke yako utaona raha zote hapa duniani na kama ni wa kumvulia mwingine huyo atakuonesha rangi zote mapema kabisa
 
Duniani Kuna warefu na wafupi, weusi na weupe, watimilifu na walemavu, viwete, wasioona na wanaosoma ,wasiosikia na wanaosikia , na kadhalika na kadhalika. Hatufanani.

Kila mmoja ashinde mechi zake
 
Hivi malaya ni kwa wanawake tu au hadi sisi wanaume?

Kwamba manamke akikuoa mwanaume malaya ndio itadumu?
 
Hayo si maoni ya Sawasawa na ni maoni ya Mtu aliyeufunga mlango wa kufahamu mabadiliko.
Aliyewaumba ameweka Mlango wa toba kwa viumbe wake, hii ni alama tosha kuwa viumbe wake hubadilika kutoka hali moja hadi nyingine.
Wewe ni nani Mkuu usiye hata na uwezo wa Kuhudumia maisha ya Sisimizi uwasemee Viumbe wa Mola Mlezi?
 
Kuna broh mmoja huko mjini kwenye hizo media zenu alikuwa semaji lenye maneno ya mbosho kwenye hizo timu zenu za uarabuni inakoota mitende, zamani alikuwa porini huko km masai anawinda simba km mahari anapitia hii situation kwa kuoa malaya
 
Back
Top Bottom