Yah wazuri mkuu ni maisha ya kijijini na hali ngumu zimewachosha ila unaona kabisa wangekuwa mjini na maisha yenye afadhali wangekuwa bomba mbaya. kuhusu kutulia kwenye ndoa maisha ya bush yanawafanya watulie tu hakuna namna maana bush watu hawagongeani wake kihivyo na hakuna mambo mengi. asubuhi ni shamba, jioni kupika, wakitoka sana ni gulio siku za gulio na kwenye vyama vya vicoba. kila mtu anamjua kila mtu kufanya uchepukaji ni ngumu japo pia upo unafanyika.Na vipi mkuu hao wanawake ni wazuri na wamejazia? Na je wanatulia kwenye ndoa?
Hao ni wahangaza?Yah wazuri mkuu ni maisha ya kijijini na hali ngumu zimewachosha ila unaona kabisa wangekuwa mjini na maisha yenye afadhali wangekuwa bomba mbaya. kuhusu kutulia kwenye ndoa maisha ya bush yanawafanya watulie tu hakuna namna maana bush watu hawagongeani wake kihivyo na hakuna mambo mengi. asubuhi ni shamba, jioni kupika, wakitoka sana ni gulio siku za gulio na kwenye vyama vya vicoba. kila mtu anamjua kila mtu kufanya uchepukaji ni ngumu japo pia upo unafanyika.
wanyarwanda na wahangazi wote wote tu mkuu yani niliona ni wengi. ilikuwa 2022 hukoHao ni wahangaza?
Nina mpango nikatafute mke huko ngara nimlete huku kusiniwanyarwanda na wahangazi wote wote tu mkuu yani niliona ni wengi. ilikuwa 2022 huko
Usijidanganye ukamoeleka mjiniYah wazuri mkuu ni maisha ya kijijini na hali ngumu zimewachosha ila unaona kabisa wangekuwa mjini na maisha yenye afadhali wangekuwa bomba mbaya. kuhusu kutulia kwenye ndoa maisha ya bush yanawafanya watulie tu hakuna namna maana bush watu hawagongeani wake kihivyo na hakuna mambo mengi. asubuhi ni shamba, jioni kupika, wakitoka sana ni gulio siku za gulio na kwenye vyama vya vicoba. kila mtu anamjua kila mtu kufanya uchepukaji ni ngumu japo pia upo unafanyika.
Watu wanavutiwa na watusi wa Tiktok huku kwa ground ni majangaUkija pande hizi nakupa mabinti wawili wa kitutsi uone mwenyewe yaliyomo yamo
Kwamba huko kwao wote wanafuga ng'ombe wa maziwa?Huko kusini nasikia kuna uhaba wa maziwa,hao bila Maziwa atapachukia sana huko
Si ndio?Inategemea lengo lako nini, Nani kasema wote wanawafuata ili waoe
Hii ipo sana tangu kale. Wanawake Wahangaza wanavumilia shida na wanaheshimu kwanza ndoa kabla ya kuheshimu mume. Yeye akiambiwa kuna mtu anataka kuoa binti mwenye sifa kama zako tiyari anampenda akiwa njiani kumfuata. They are loyal to the death.Huko kuna human trafficking, nilikuwa kijijini kwetu mwaka juzi huko mleba kijiji fulani. watu wanatoa order ya hao wanawake wanaletewa from ngara wanawaoa. yani unaagiza tu unatoa features.
kilichonishtua hao wanaotoa order si kwamba wana maisha mazuri, sasa sijui huko ngara kuna maisha magumu zaidi au la
Mkuu wewe mwanamke umejuaje kama wana joto sio wabaridi?1. SIO KWELI
2. SIO KWELI
3. KWELI
4. SIO KWELI
5. KWELI
6. YOTE
7.YOTE
8. KWELI
9. KWELI SANA
10. KWELI
11. KWELI
HITIMISHO; Punguza mihemko