[emoji30]Nimekumbuka kuna mdau mmoja aliwahi kusema mke wake akiwa ana mimba alimwamsha saa sita usiku akisema anataka miwa, akaelezea namna alivyoangaika kugongea milango raia usiku ule hadi alipofanikiwa kupata.
Sasa alipomletea mkewe, badala mkewe yeye ale muwa, akataka tena mumewe ndo ale huo muwa, yeye raha yake asikie ile sauti ya muwa ukipambana na meno. Jamaa alikuwa analalamika hapo alipo meno hayafai.
Zina usayansi ndani yake au ndio porojo tu za "black magic"??!Mwanamke yoyote akiwa ameshabeba Mimba / Ujauzito kwa Mwanaume mwingine na anataka Mtoto akizaliwa afanane nawe (Mume / Mpenzi halali) na umkubali hufanya haya.
1. Atakuvizia Usiku ukiwa Umelala Fofofo kisha anakuruka mara Mbili tu na hapo Mchezo unakuwa umeisha.
2. Atakulazimisha muende Bafuni mkaoge wote na Maji yale yale ya Ndoo Moja atalazimisha myaogee wote.
Hizi ni Mbinu za Kiutamaduni (Kienyeji) ambazo Wanawake wa Kale (wa zamani wamezitumia) katika kuwabambikia Waume zao / Wapenzi wao Mimba na Watoto enzi hizo na bahati mbaya hata Wanawake wa sasa (tulionao) nao wameigundua na wanaitumia kwetu Sisi Wanaume na ama hakika Wanatubambikia kweli kweli.
Wale nomaKuna kabila nlisikiaga ni wakinga nadhan huwezi singizia mtu mimba au mtoto
Hii niliwahi kuisikia kwa mzee mmoja huko katavi kwenye kijiwe cha gahwa pale kashauriritafuta kaburi alilo zikwa mzee mwenye umri ulio enda enda kidogo, naitafaa sana kama mzee huyo alikuwa mtu maarufu kwenye jamii yake chuma majani ya usawa wa miguu adi kiunoni kwenye kaburi, ukiwa njiani unarudi nyumbani usigeuke wala usiongee na yeyote, kisha yaweke chini ya kitanda mnacho lala na yaseme neon... !......kitakacho tokea ni mawili kutokana na ulivyo nuhia , mimba kuporomoka au mtu ku rest in pieceee!
UongoMwanamke yoyote akiwa ameshabeba Mimba / Ujauzito kwa Mwanaume mwingine na anataka Mtoto akizaliwa afanane nawe (Mume / Mpenzi halali) na umkubali hufanya haya.
1. Atakuvizia Usiku ukiwa Umelala Fofofo kisha anakuruka mara Mbili tu na hapo Mchezo unakuwa umeisha.
2. Atakulazimisha muende Bafuni mkaoge wote na Maji yale yale ya Ndoo Moja atalazimisha myaogee wote.
Hizi ni Mbinu za Kiutamaduni (Kienyeji) ambazo Wanawake wa Kale (wa zamani wamezitumia) katika kuwabambikia Waume zao / Wapenzi wao Mimba na Watoto enzi hizo na bahati mbaya hata Wanawake wa sasa (tulionao) nao wameigundua na wanaitumia kwetu Sisi Wanaume na ama hakika Wanatubambikia kweli kweli.
Ungekuwa unafahamu inheritance ya genetics usingeongea huu utumboMwanamke yoyote akiwa ameshabeba Mimba / Ujauzito kwa Mwanaume mwingine na anataka Mtoto akizaliwa afanane nawe (Mume / Mpenzi halali) na umkubali hufanya haya.
1. Atakuvizia Usiku ukiwa Umelala Fofofo kisha anakuruka mara Mbili tu na hapo Mchezo unakuwa umeisha.
2. Atakulazimisha muende Bafuni mkaoge wote na Maji yale yale ya Ndoo Moja atalazimisha myaogee wote.
Hizi ni Mbinu za Kiutamaduni (Kienyeji) ambazo Wanawake wa Kale (wa zamani wamezitumia) katika kuwabambikia Waume zao / Wapenzi wao Mimba na Watoto enzi hizo na bahati mbaya hata Wanawake wa sasa (tulionao) nao wameigundua na wanaitumia kwetu Sisi Wanaume na ama hakika Wanatubambikia kweli kweli.
Hiyo ya kumruka akiwa amelala mbonà wanasema ni kwa ajili ya kumhamishia uchungu na si hivo usemavyo wewe??
Yaana mtoto anafanana na baba yake wa kambo kisa mama kamruka baba huyo...!Lazima viumane kupitia Uzi huu. Inshort wewe hapa umetumika na Ibilisi kuchochea ugomvi
mbinu za mabeberu...wanataka tuachekuzaliana, wapuuzi sana.[emoji28][emoji28][emoji28]utafanya watu walale macho na wakatae kuoga pamoja
Sasa kama pesa imekata tufanyaje ? Tulianza na mambo ya nyota, sasa tumehamia kuruka watu na kuoga maji ya ndooAkili zimeisha mmeanza ushirikina sasa!!
Hivi kipimo cha DNA kina uhakika wa kutoa asilimia ngapi ya kutoa majibu sahihi? Ukipata jibu lake fanya maamuzi sahihi.kuna mtoto nafanana naye sana, anafanana na ndugu zangu, but still lazima nifanye DNA test.
asilimia kubwa, hata kukufariji kinaweza kukufariji hata kama kitakuwa kimekudanganya. kuliko bure bure.Hivi kipimo cha DNA kina uhakika wa kutoa asilimia ngapi ya kutoa majibu sahihi? Ukipata jibu lake fanya maamuzi sahihi.