Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,644
- 3,880
[emoji30]Nimekumbuka kuna mdau mmoja aliwahi kusema mke wake akiwa ana mimba alimwamsha saa sita usiku akisema anataka miwa, akaelezea namna alivyoangaika kugongea milango raia usiku ule hadi alipofanikiwa kupata.
Sasa alipomletea mkewe, badala mkewe yeye ale muwa, akataka tena mumewe ndo ale huo muwa, yeye raha yake asikie ile sauti ya muwa ukipambana na meno. Jamaa alikuwa analalamika hapo alipo meno hayafai.