Master Arcade
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 404
- 658
Matajiri wanyonyaji waache wawekwe hadharani janja zao ili likitokea la kutokea msiseme hamkuambiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya mtu anapojilipua kwa kusema ukweli...the guy is free now kwa kusema ukweli na ni bora zaidi kuliko kwenda kuongelea vitu hivi pembeni,faida yake mabosi wake wa sasa wata mheshimuWaswahili wana usemi '"Jasiri haachi asili" hivyo wanachopitia Simba kwa sasa kupitia aliyekuwa anafanya kazi hapo ni fundisho tosha kuwa mkae nae kwa tahadhari kwani si Mtu wa staha.
Mtu aliye tayari mpoteze yote mliyofikia kwa kuwa tu maslahi yake yamevurugika ni Mtu Mbaya na Msaliti.
Manara sasa ameonesha rangi zake halisi, kwamba kwake maslahi yake ni muhimu kuliko ya kundi, hata kama aliwahi kuwaaminisha Wanakikundi Wenzake kuwa yeye ni Mwenzao wa kufa na kuzikana.
Kama Manara alituhumiwa na Wenzake kuwa 'anaropoka' siri za kambi kwa Wapinzani...kwa anayofanya sasa bado anataka tuamini kuwa alikuwa anasingiziwa?
Simaanishi kuwa Manara hakukosewa au hakupitia maudhi ya hapa na pale ndani ya Simba, lakini ni vipi Askari akiamua kutoka hadharani kuanza kuropoka kila yanayomkuta kwenye kambi yake?
Au Muajiriwa aanze kuropoka mapungufu ya Kampuni/Taasisi aliyokuwa anafanya nayo kazi kabla?...huenda kwa wakati huo kama Mshindani/Mpinzani utafurahia kusikia...lakini kama una akili lazima utabaki na maswali "je mimi nitakuwa salama kuwa karibu na Mtu kama huyu?"
Anachokifanya Manara ni dhahiri kuwa kwa sasa hajali tena nini kitatokea kwa Simba. Kama ana ugomvi na Moo hivi kuna haja gani kutamani kuwasumbua wote wanaoifuatilia na kupenda mafanikio ya Simba?
Mnapokuwa katikati ya kusheherekea matunda/mafanikio ya kazi Mtu pekee mnayemtarajia aje awavurugie sherehe yenu ni yule ambaye siku zote anapingana nanyi na hapendi mafanikio yenu, na si yule aliye/anayewaaminisha siku zote kuwa ni sehemu yenu .
Haji kala mamilioni ya Ghalib sana kuihujumu Simba.Waswahili wana usemi '"Jasiri haachi asili" hivyo wanachopitia Simba kwa sasa kupitia aliyekuwa anafanya kazi hapo ni fundisho tosha kuwa mkae nae kwa tahadhari kwani si Mtu wa staha.
Mtu aliye tayari mpoteze yote mliyofikia kwa kuwa tu maslahi yake yamevurugika ni Mtu Mbaya na Msaliti.
Manara sasa ameonesha rangi zake halisi, kwamba kwake maslahi yake ni muhimu kuliko ya kundi, hata kama aliwahi kuwaaminisha Wanakikundi Wenzake kuwa yeye ni Mwenzao wa kufa na kuzikana.
Kama Manara alituhumiwa na Wenzake kuwa 'anaropoka' siri za kambi kwa Wapinzani...kwa anayofanya sasa bado anataka tuamini kuwa alikuwa anasingiziwa?
Simaanishi kuwa Manara hakukosewa au hakupitia maudhi ya hapa na pale ndani ya Simba, lakini ni vipi Askari akiamua kutoka hadharani kuanza kuropoka kila yanayomkuta kwenye kambi yake?
Au Muajiriwa aanze kuropoka mapungufu ya Kampuni/Taasisi aliyokuwa anafanya nayo kazi kabla?...huenda kwa wakati huo kama Mshindani/Mpinzani utafurahia kusikia...lakini kama una akili lazima utabaki na maswali "je mimi nitakuwa salama kuwa karibu na Mtu kama huyu?"
Anachokifanya Manara ni dhahiri kuwa kwa sasa hajali tena nini kitatokea kwa Simba. Kama ana ugomvi na Moo hivi kuna haja gani kutamani kuwasumbua wote wanaoifuatilia na kupenda mafanikio ya Simba?
Mnapokuwa katikati ya kusheherekea matunda/mafanikio ya kazi Mtu pekee mnayemtarajia aje awavurugie sherehe yenu ni yule ambaye siku zote anapingana nanyi na hapendi mafanikio yenu, na si yule aliye/anayewaaminisha siku zote kuwa ni sehemu yenu .
Kwa mwenendo na kauli zake hizi ni dhahiri alikuwa anaihujumu Simba kwani alikuwa anafanya kazi kwa kinyongo muda wote,hivyo njia aliyoona inafaa kulipa kisasi ni kuwa double agent.Haji anaweza kuwa kakosea kwenye baadhi ya kauli zake ila kilichomuuma zaidi ni kuambiwa kuwa anaihujumu team anayaoipenda.
Root cause ya hasira za Haji zilianza kwa kuambiwa kuwa anaihujumu team, kama ni maslahi mbona kayavumilia kwa miaka 6?
Umehukumu kwa kutumia sababu nyepesi sana,kwani haiwezekani kua Haji alikua anavumilia ili tu kulinda umaarufu wake na kupiga hela kwenye page zake za social media?Kwa mwenendo na kauli zake hizi ni dhahiri alikuwa anaihujumu Simba kwani alikuwa anafanya kazi kwa kinyongo muda wote,hivyo njia aliyoona inafaa kulipa kisasi ni kuwa double agent.
Eti Bakheresa nini na wafanyakazi wake. We kaa kimya kabisa. Nenda kapekuwe mafaili pale CMA karibu na CBE. Usilolijua usilizungumzie kabisa. Kwa kifupi watu wengi waelewa wakiachishwa kazi huwa wanaenda kuwashtaki waajiri wao pale mahakama ya kazi na wanamalizana hukohuko na sio kuitisha waandishi wa habari kama huyo bumunda wenu mnayemtetea kwa nguvu zote. Hebu fikiria kila anayeachishwa kazi kwa utata aitishe "press" hivi hii nchi ingekuwaje.Sio mbaya mtu anapojilipua kwa kusema ukweli...the guy is free now kwa kusema ukweli na ni bora zaidi kuliko kwenda kuongelea vitu hivi pembeni,faida yake mabosi wake wa sasa wata mheshimu
We mwenyewe unajua kwa bakhresa hakunaga malalamiko na kesi za kijinga na wafanyakazi wake,watu wanalipwa on time kuanzi kwenye timu,media na watu wa viwandani lkn hapo nyuma nakumbuka kuna wafanyakazi washawahi kulalamika Mo anawanyonya kwa kulipa kiduchu kuliko kazi wanazofanya.
Binaadamu tunajisahau sana.Umehukumu kwa kutumia sababu nyepesi sana,kwani haiwezekani kua Haji alikua anavumilia ili tu kulinda umaarufu wake na kupiga hela kwenye page zake za social media?
Ni dhahiri kabisa kua Haji alikua anapiga pesa zaidi kwa kutumia umaarufu wake alioupata Simba kwenye matangazo ya biashara kuliko pesa aliyokua anaipata kama mshahara.
manara anasuta hadi dada wake wa kazi
Manara amepata umaarufu kupitia uwekezaji na jitihada za Mo. Halafu anautumia umaarufu huo kutangaza bidhaa za wafadhili wa Yanga. So unfair
Sasa kwa kwenye akili wanaweza wakakubali kua alikua anaihujumu timu kwa alichofanyaHaji anaweza kuwa kakosea kwenye baadhi ya kauli zake ila kilichomuuma zaidi ni kuambiwa kuwa anaihujumu team anayaoipenda.
Root cause ya hasira za Haji zilianza kwa kuambiwa kuwa anaihujumu team, kama ni maslahi mbona kayavumilia kwa miaka 6?
Partner ajirekebishe kwasababu ameweka fedha wakati mwengine tukubali kwamba C.E.O ni mwajiriwa kama alivyokua Manara wakati wake ukifika nae ataachia ngazi tu!!..Mo akiondoka Simba Leo hata akiwaachia kila kitu bado Simba itadondoka!!..Manara kapotea njia kwasababu alidhani Mo hatoweka fedha kabla ya press yake ndio maana kabla ya game ya kigoma alisema mchakato wa Simba hautofika mwisho!!...Manara analia hajui anaelekea wapi?!!..kaacha team wakati wa mafanikio ni mjinga pekee ataendelea kumsikiliza ManaraHaji kuna maeneo kateleza kutokuchukua hatua mapema ilhali alikua keshaona viashiria vyote vya matatizo,ila nimemsikiliza kwa makini kabisa kwenye press yake kuna maeneo Mo na C.E.O wajirekebishe, la sivyo huko mbeleni ikitokea mgogoro mwingine wataoangisha na dot za Haji hapatokalika pale Msimbazi.
Alishaoa na.kuacha hii mara ya 4 yaan kashaacha mara 3 duuhhh
Historia yake inajulikana waziWaswahili wana usemi '"Jasiri haachi asili" hivyo wanachopitia Simba kwa sasa kupitia aliyekuwa anafanya kazi hapo ni fundisho tosha kuwa mkae nae kwa tahadhari kwani si Mtu wa staha.
Mtu aliye tayari mpoteze yote mliyofikia kwa kuwa tu maslahi yake yamevurugika ni Mtu Mbaya na Msaliti.
Manara sasa ameonesha rangi zake halisi, kwamba kwake maslahi yake ni muhimu kuliko ya kundi, hata kama aliwahi kuwaaminisha Wanakikundi Wenzake kuwa yeye ni Mwenzao wa kufa na kuzikana.
Kama Manara alituhumiwa na Wenzake kuwa 'anaropoka' siri za kambi kwa Wapinzani...kwa anayofanya sasa bado anataka tuamini kuwa alikuwa anasingiziwa?
Simaanishi kuwa Manara hakukosewa au hakupitia maudhi ya hapa na pale ndani ya Simba, lakini ni vipi Askari akiamua kutoka hadharani kuanza kuropoka kila yanayomkuta kwenye kambi yake?
Au Muajiriwa aanze kuropoka mapungufu ya Kampuni/Taasisi aliyokuwa anafanya nayo kazi kabla?...huenda kwa wakati huo kama Mshindani/Mpinzani utafurahia kusikia...lakini kama una akili lazima utabaki na maswali "je mimi nitakuwa salama kuwa karibu na Mtu kama huyu?"
Anachokifanya Manara ni dhahiri kuwa kwa sasa hajali tena nini kitatokea kwa Simba. Kama ana ugomvi na Moo hivi kuna haja gani kutamani kuwasumbua wote wanaoifuatilia na kupenda mafanikio ya Simba?
Mnapokuwa katikati ya kusheherekea matunda/mafanikio ya kazi Mtu pekee mnayemtarajia aje awavurugie sherehe yenu ni yule ambaye siku zote anapingana nanyi na hapendi mafanikio yenu, na si yule aliye/anayewaaminisha siku zote kuwa ni sehemu yenu .
ona mwingine huyu. huwa mnawezaje kujiunga JF kwa akili hizi? kwa hiyo Kaduguda anatoa uhalali wa kila mtu kutofanya busara? Wengi mnatetea huu ujinga kishabiki sana badala ya kuiona future ya mtu. Hivi ni mwajiri gani aliye malaika atamwajiri Haji,au mfanyabiashara gani timamu atafanya biashara na huyu. ambaye hatokuwa na uhakika wa siri za biashara zao kuvujaSimba kwa hakika ni mbumbumbu, Kaduguda alichukua jezi, mipira, nyavu na vifaa vingine vya mazoezi baada ya Simba kushindwa kumrudishia fedha zake alizo wanunulia wachezaji chapati na vitumbua alafu vingozi wakamtimua chakushangaza Kaduguda karudi Simba na akawa mwenyekiti. Kwaiyo ata Haji atarudi na kuiongoza Simba kwakua umbumbumbuni hakuna fomula.
Angerudi kwenye Simba ile ya kina Mzee Mpili na Simba hii ya Kidigitali.Mbumbumbu fc mshasahau kuwa mlipomtimua Kaduguda aliongea mbovu na kudai hela zake za maandazi na mihogo aliyokuwa anawanunulia wachezaji pia akidai cone zake za mazoezi,lakini leo hii yupo Simba kama kiongozi. Na Manara atarudi tuu.
Swadakta wa swadakta.Haji kajiharibia sana. Ni wazi ametumwa na Azam akaongee hivyo.
Awali alisema ataongea na waandishi kwa lengo la kuwashukuru wana Simba, badala yake ndio kaja kuharibu kabisa hata kumfikiria kumrudisha tena ni ngumu kwa kweli. Aliondoka Ezekiel Kamwaga mbona alikaa kimya na sasa amerudishwa.
Kama wana makandokando ya ajabu ,tutamshukuru Manara akiwaanika peupe. Tunaowatahadharisha hawa watu tunapata nini?Ni suala la muda tu tutakuja kujua mengi ya wakina Bakhresa na na wakina GSM. Kwa jinsi alivyokuwa anajionyesha ana ukaribu wa kupitiliza na Mo halafu kaja kumvua nguo mbele ya waandishi wa habari kiasi kile basi wanaofuata kwenye mstari ni hao Bakhresa na GSM.