Mnaofikiria kufanya kazi na Manara baada ya haya mjiulize mara mbili. Anachowafanyia Simba nanyi atawafanyia

Mlipe mtu stahiki zake hatokusema.

Tatizo mnataka afanye kazi ya kanisa ya bila malipo afu akisema ukweli mnasema kawatukana.
 
Haji anaweza kuwa kakosea kwenye baadhi ya kauli zake ila kilichomuuma zaidi ni kuambiwa kuwa anaihujumu team anayaoipenda.

Root cause ya hasira za Haji zilianza kwa kuambiwa kuwa anaihujumu team, kama ni maslahi mbona kayavumilia kwa miaka 6?

wENYE nJAA na tamaa ya fedha za Mo wanaliona hili dogo.
 

Mo Siyo Simba,

Hajji hajaisema vibaya Simba Sc ambayo ndo mwajiri wake (japo hawajawahi kumpa mkataba wala NSSF) . hAJAMSEMA MWENYEKITI WA KLABU WALA WANACHAMA WA kLABU.

Hajji kamsema Tapeli mmoja anayehangaika kumilikishwa timu ili atimize matakwa yake ya kibiashara kwa gharama nafuu
 
Mbona taasisi zingine ambazo alifanyanazo kazi na wakaachana vizuri mbona hakuwa na shida nao?

Maybe umeanza kumjua Haji akiwa Simba sie tunamjua since akiwa mchambuzi wa African cup itv
 
Kwa shombo hizi za Haji hata sisi mashabiki tushajua ni kweli Haji ni mwezi mchanga. Hatutakubali Haji arudishwe, aende akafanye kazi kwenye Timu pendwa ya Baba yake Mzee Manara
Basi nenda ww Acha kazi yako na ukatangaze biashara za MO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…