Kama pesa zinazokopwa zikitumika kwa uangalifu mkubwa bila ubadhirifu wowote tija ya hiyo mikopo itaonekana, lakini kwa uzoefu wa hapa bongo pesa huwa zinafanyiwa hesabu chafu ! Na kibaya ni kile kitu kinaitwa Kazi na Bata !! Pesa ya serikali huwa wengine wanaona kama vile ni halali yake kuliwa tu !!Nijibu kwaza Kuna hawamu ambayo haijawai kukopa?
Hayo ndio mambo wapendwa wetu humu hawataki kuambiwa.unaona kinachoendelea sri lanka ? unakumbuka kilichotokea ugiriki ?
Kwa kweli !! Duh ! Kazi na Bata inatudidimiza !!Gesi asilia,Madini lukuki,Mafuta chini ya Ardhi,Bahari kuu,Maziwa makuu,Misitu asilia,Hifadhi za taifa ziko 22,Ardhi yenye rutuba,Mito mikuu inayotiririsha maji mwaka mzima non stop nk...nk....
heheheeeHalafu tunabandika na mabango makubwa yakisomeka
"kwa msaada wa...." hadi kwenye vyoo.
Halafu tukihoji tunaitwa Wapuuzi au Akili ndogo.Kama pesa zinazokopwa zikitumika kwa uangalifu mkubwa bila ubadhirifu wowote tija ya hiyo mikopo itaonekana, lakini kwa uzoefu wa hapa bongo pesa huwa zinafanyiwa hesabu chafu ! Na kibaya ni kile kitu kinaitwa Kazi na Bata !! Pesa ya serikali huwa wengine wanaona kama vile ni halali yake kuliwa tu !!
Wao wananunulia mabus pesa zetu wakistaafu mabus nayo ufa sababu yaliyendeshwa kwa kodi zetu.Tunashirikishwa kulipa sio sisi tu,bali hadi vitukuu vyetu!
kuna siku tutalamba machungu taifa zimaHayo ndio mambo wapendwa wetu humu hawataki kuambiwa.
Wao wanachoangalia ni fursa hizi za muda mfupi tena zenye manufaa kwa tabaka la wachache wanaodiriki kujitapa hadharani kama walamba asali.
Yah right. Madeni mengine tutayalipia mbinguni baada ya mwisho wa dunia🤣🤣🤣🤣Wakishindwa kulipa watakopeshwa tena ili wakilipe kile walichokopeshwa !! Kupanga ni kuchagua!
Wachina sio watu wazuri hata kidogoNdivyo alivyofanyiwa Sri lanka!! Sasa mchina anataka amkopeshe Sri Lanka ili alipe deni !! Hayo ni maangamizi mengine !!
Kumbe unafahamu kuwa kuna wizara ya fefha na kamati ya bunge ambayo unaweza kupata majibu? Sasa kwann hayo majibu huna?Unatuthibitiashiaje wewe kama wewe,wakati sio waziri wa fedha wala mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti?
Ninatambua uwepo wa hivyo vyote ila sina imani na kila wanachotuambia.Kumbe unafahamu kuwa kuna wizara ya fefha na kamati ya bunge ambayo unaweza kupata majibu? Sasa kwann hayo majibu huna?
Huo ndio Ukweli mchungu kuumeza, lakini usiokwepeka.
Sio ujasiri wala ushujaa kwa viongozi kutembea mkifurahia mikopo na kujipiga kifua mbele ya wananchi majukwaani,kama vile ni jambo la kheri na kishujaa kukopa kopa bila Dira ya kitaifa.
Mnapaswa pia kutoa elimu kwa wananchi, juu ya madhara ya mikopo hiyo kwa uchumi wa nchi.
Ili wananchi waweze kujiandaa kisaikolojia huko mbeleni.
Kwa sababu nyinyi viongozi mnakwenda kukopa huko,lakini walipaji wakuu ni wananchi na vizazi vyao.
Kwa nchi iliyojaaliwa raslimali kama hii ya Tanzania.
Hatukupaswa na hatustahili kushinda mguu na njia kwenda kutembeza mabakuli huko Duniani,sambamba na nchi maskini wa kweli ambazo zipo Africa na kwingineko.
Wakati huo tukiziacha mali zetu zikichotwa kwa mkono mwingine na hao hao wakopeshaji,kwa msaada wa baadhi ya wenzetu wachache kwa manufaa binafsi.
Kwani mifano hai ya mikopo hiyo na madhara yake kwa ushamiri wa taifa tunao.
Mfano wa karibuni kabisa ni huu unaoendelea huko Sri Lanka [emoji1224].
Walikopa hadi wakanyanganywa Bandari yao kuu.
Na sasa wanaelekea kupoteza uhuru wao kama taifa.
Ni baada ya hao hao IMF watalapoitangaza Sri Lanka kama nchi iliyofilisika.
Bado mfano mwingine wa madhara ya mikopo uko Lebanon [emoji1146].
Kwa hiyo CCM wakati mkisifia ukopaji muelewe jinsi mnavyoelekea kulitumbukiza taifa hili tajiri la raslimali,mikononi mwa wakopeshaji.
Ndiyo umuhimu wa vyama vingi badala ya udikteta. Hii ni nchi ambayo ilikuwa inaendeshwa na familia kungekuwa na demokrasia wasingefika hapa walipo leo. Tatizo sio mikopo pekee ni uongozi