GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Amina Kiongozi. Yote ni Mipango ya Mungu na Kuniheshimisha Kwenu.Amina...! Hakika tutakuona ukipekea tuzo...! Wewe ni mshindi...
Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea Mwendo.Ukitaka kuwa Bora siku zote punguza hasira zinaweza kutoa kwenye reli.
Umeishia tu Kucheka na Kunicheka mbona hujanikashifu au Kunidhihaki kama Wenzako?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kuna Watu kwa Chuki na Wivu wao Kwangu wanatamani hata wasikie Nimekufa.Tunaokupenda tupo,
Achana nao
Wewe ni nani wa Kunipangia cha Kuandika JF? au Sindano imeshafika mfupani?Kama haikuumizi kwanin uizungumzie[emoji28]
Timiza lile unalopigania, huwezi kushindana alafu usipigwe vita kijana
The grand popoma has spoken...makofi tafadhaliKama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.
Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Tunaomfahamu humu jukwaani, wala hatuumizi kichwa. Anataka kuonewa huruma, ili baadaye apate nafasi ya kuanza kutukana watu hovyo.Jamaa unapenda attention wewe
Naweza kuwa Chukizo Kwenu Wanadamu ila kwa Baba Mungu aliyeniiumba na anayenijua vyema kuliko Wanaonichukia na Kunionea Gere ( Wivu ) kwa Umaarufu wangu nikawa Msafi Kwake na Malaika wake tukuka.[emoji23][emoji23][emoji23]pamoja na matusi unayo wamiminia bado umetoboa
Namjua vilivyo ,anajua kuitafuta huruma mbaya zaidi hata wadada humu jf hawana tabia kama hizoTunaomfahamu humu jukwaani, wala hatuumizi kichwa. Anataka kuonewa huruma, ili baadaye apate nafasi ya kuanza kutukana watu hovyo.