Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ila wewe umekuwa ukinitukana sana humu jukwaani. Kisa tu sikusifii kama baadhi ya wajumbe wengine. Na sijawahi kukushtaki kwa yeyote.Mbona nawe hujanitukana kama Wenzako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe umekuwa ukinitukana sana humu jukwaani. Kisa tu sikusifii kama baadhi ya wajumbe wengine. Na sijawahi kukushtaki kwa yeyote.Mbona nawe hujanitukana kama Wenzako?
Kwa hii Post yako kuna Watu Wamenuna mpaka wanataka Kupasuka. Jiandae tu kuambiwa hii ID yako ni yangu kwani hapa JamiiForums kila ID inayonipenda na kunipongeza naambiwa ni zangu ila zile zinazonichafua sihusishwi nazo.Umerudi , nilikumisi sana jf ilipoa wajua . Karibu tena
Hatari au siyo Kiongozi wangu au?😄😄😄 Ila Gentaaa.. 🙌🙌🙌
Nonsense.Tunaomfahamu humu jukwaani, wala hatuumizi kichwa. Anataka kuonewa huruma, ili baadaye apate nafasi ya kuanza kutukana watu hovyo.
Hataree.. Ila tunaimani na wewe Mkuu, so relax.Hatari au siyo Kiongozi wangu au?
Amina / Amen Kiongozi wangu.Hataree.. Ila tunaimani na wewe Mkuu, so relax.
90% ya JamiiForums Members mnaonipenda ( nawe ukiwemo ) ndiyo mnanipa Jeuri, Kiburi na Kujiamini mbele ya Maadui zangu wenye Ushetani 100%GENTAMYCINE huna mpinzani ushindi wa kishindo
Hata nisipoichukua / nisiposhinda najiona ni Mshindi na nitaendelea Kumshukuru na Kumsifu Mwenyezi Mungu ( Allah ) wangu / wetu.Baba tunachukua hii ngoma ucjal
Ukishinda nakata rufaa. Kwanza imekuaje mtu mwenye lugha na matusi chukizo ukawa nominated. Moderators wangeongeza vigezo hata kama mtu kachangia sana, uadilifu wake pia uwe considered.Kama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.
Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Nguvu ya Mungu kwa aliyemchagua ( GENTAMYCINE ) kamwe haipingwi na Mashetani.Ukishinda nakata rufaa. Kwanza imekuaje mtu mwenye lugha na matusi chukizo ukawa nominated. Moderators wangeongeza vigezo hata kama mti kachangia sana, uadilifu wake pia uwe considered.
Hata sijali Kila mtu afate njia yake.Kwa hii Post yako kuna Watu Wamenuna mpaka wanataka Kupasuka. Jiandae tu kuambiwa hii ID yako ni yangu kwani hopa JamiiForums kila ID inayonipenda na kunipongeza naambiwa ni zangu ila zile zinazonichafua sihusishwi nazo.
Hakika Kiongozi wangu.Hata sijali Kila mtu afate njia yake.
Ukibarikiwa Akili nyingi na Mwenyezi Mungu ni raha na amani sana Kiongozi.Poti hii code uliyoandika sio kwa wenye vichwa vyepesi, hawatoweza kuelewa kwani imebakia masaa machache shindano lifungwe.
Imebidi ni vote!
Unaona sasa, unawaita mashetani viumbe walioumbwa na Mungu kama wewe kisa tu wanakukumbusha kuwa muadilifu. Halafu utegemee kupata hizo baraka? Ingekuwa bora ukabadilika kuanzia Christmas hii kwenda mbele.Nguvu ya Mungu kwa aliyemchagua ( GENTAMYCINE ) kamwe haipingwi na Mashetani.
Wewe unajipendekeza kwake. Hebu tueleze, anabarikiwa sana kwa lipi.jenta wee nidini gani.?mbona unabarikiwa sana? nijibu tafazali.