Mnaohangaika Kunichafua katika Shindano Jukwaa la Sports nikishinda au nikishindwa bado nitashukuru Mungu

Mnaohangaika Kunichafua katika Shindano Jukwaa la Sports nikishinda au nikishindwa bado nitashukuru Mungu

Unaona sasa, unawaita mashetani viumbe walioumbwa na Mungu kama wewe kisa tu wanakukumbusha kuwa muadilifu. Halafu utegemee kupata hizo baraka? Ingekuwa bora ukabadilika kuanzia Christmas hii kwenda mbele.
Ushaetani ni sifa yeyote anaweza kuwa nayo kama ana tabia ovu zilizopitiliza na kustahiki kuitwa hivyo.Mfano binadamu wanaowashawishi na kusababisha wenzao kusaliti familia zao ,kugombana ,kuacha ibada nk.
 
Wewe ni mshind, mti mwema si ndo hupigwa mawe umesahahu bro achana nao kura yangu nomekupa
 
Kama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.

Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.

Maneno ya mkosaji anayetaka huruma! Hapa hakuna huruma ni kura tuu! Mbona wenzio hawapigi kelele, iweje uwe wewe tu?
 
Naweza kuwa Chukizo Kwenu Wanadamu ila kwa Baba Mungu aliyeniiumba na anayenijua vyema kuliko Wanaonichukia na Kunionea Gere ( Wivu ) kwa Umaarufu wangu nikawa Msafi Kwake na Malaika wake tukuka.

Huna umaarufu wowote! Watu maarufu wametulia wanakupiga rada hapa!
 
Ndio naona unapiga kampeni😅, atakayekupigia kura wewe asee tutampima akili... 🏃🏃
 
Wewe huna baya ndugu tatizo lako unajaa mihasira haraka

Ndio maana kina matola wasio jua kitu wametoka porini uko wanakutesa
Mzanaki ana mihasira utafikiri Mkurya, yaani akikosolewa kidogo reaction yake hadi unashangaa. Anyway, huwa namkubali sana.

Vv
 
Mkuu GENTAMYCIME GENTAMYCINE achana na hawo wenye roho za korosho. Imeisha hiyo mwambaaaaaa.
View attachment 2457998
Taarifa iwafikie Wanaonichukia na Kuumizwa na Karama pamoja na Baraka nilizopewa nae Mwenyezi Mungu wakiongozwa na OKW BOBAN SUNZU, Song of Solomon na Wengineo.

Nguvu ya Mwenyezi Mungu kwa ampendae na aliyembariki haizuiliki kamwe na Mashetani walioko / tulionao Duniani.

Wahenga waliposema Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea Mwendo wala hawakukosea.

Na Siku zote Ukimchukia na Kumuombea mabaya ambaye hajakukosea Mwenyezi Mungu hugeuza na kuwa Baraka Kwake.

Asanteni nyote mliochukua muda wenu Kunipigia Kura na wale ambao mtanipigia. Mmeniheshimisha na mnazidi Kuniheshimisha huku mkiwaambua tu Maadui zangu.

Thawabu za Mungu ziwe daima nanyi.
 
Back
Top Bottom