Mnaohangaika Kunichafua katika Shindano Jukwaa la Sports nikishinda au nikishindwa bado nitashukuru Mungu

Mnaohangaika Kunichafua katika Shindano Jukwaa la Sports nikishinda au nikishindwa bado nitashukuru Mungu

Hapa kuna Logical and Direct connection gani na Mimi? Hongera kwa Kuitaja Brand ID yangu ya GENTAMYCINE Kiongozi wangu sawa?
Kwa hio GENTAMYCIME kukutaja ndio umekua brand?! Sawa mkuu, yule mpinzani wako Miss mia kala ban

Nasikia una ID zaidi ya 90 ya ukweli hayo au wanakupakazia?! Maana hata hii yangu unaweza ikawa moja ya ID zako

Cc: OKW BOBAN SUNZU
 
Kama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.

Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
AZAM 2-3 YANGA
 
Huchoki tu Kunijadili Kwako huku kwa Mabaya, Chuki na Wivu mkubwa dhidi yangu huku nikizidi Kufanikiwa na Kuchanja Mbuga katika Shindano?

Waionipigia Kura na Wanaendelea Kunipigia Kura ndiyo wanajua na wanaijua Thamani yangu ya uwepo wangu na Uwasilishaji wangu wa Kipekee wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums.

Asante Kwao na Mwenyezi Mungu awabariki kwa Upendo wao mkubwa Kwangu na kwa Kunithaminisha pakubwa hivi.
Kwa akili yako ilivyo, kila mtu asiyekusifia humu jukwaani, basi ana chuki na wewe! Anakuonea wivu!! Kwa lipi hasa?
 
Kwa akili yako ilivyo, kila mtu asiyekusifia humu jukwaani, basi ana chuki na wewe! Anakuonea wivu!! Kwa lipi hasa?
Kwasababu Mimi ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer GENTAMYCINE.

Una Swali lingine labda ili nikujibu pia?
 
Baada ya Kunikashifu katika Post zako za awali na kuona hujafanikiwa Kunishusha na Kuathiri Kura zangu sasa unajifanya Kunipamba na Kunipaisha Kinafiki.

Mungu akusamehe na awasaheeni bure nyote mnaonichukia, mnaoniombea mabaya na kukerwa na huu Umaarufu wangu mkubwa wenye Baraka zote za Allah / Mungu Baba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Sikuchukii jamaa yangu,tupo pamoja, Kura zinapigwa wapi nikupe yangu!?...the most handsome, hardcore fucker
 
Sikuchukii jamaa yangu,tupo pamoja, Kura zinapigwa wapi nikupe yangu!?...the most handsome, hardcore fucker
Asante kwa Kunitukana hapo mwishoni Kiongozi na Ubarikiwe sana na zaidi kwa hilo Tusi.
 
Kama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.

Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.

Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
NILIJUA WEWE UNAFURAHIA MATUSI KAMA UNAVYOTUKANA WATU HUMU, WEWE NI MTUKANAJI BORA WA MWAKA MTU MWENYE MDOMO MCHAFU ,UKISHINDA BASI HILI LITAKUWA JUKWAA LA MASHETANI,
 
Kwa hio GENTAMYCIME kukutaja ndio umekua brand?! Sawa mkuu, yule mpinzani wako Miss mia kala ban

Nasikia una ID zaidi ya 90 ya ukweli hayo au wanakupakazia?! Maana hata hii yangu unaweza ikawa moja ya ID zako

Cc: OKW BOBAN SUNZU
Swali lako ungelielekeza kwa Moderators na siyo Mimi kwani Wao ndiyo wanna Uwezo wa kujua kama nina IDs Milioni hapa JamiiForums.
 
Taarifa iwafikie Wanaonichukia na Kuumizwa na Karama pamoja na Baraka nilizopewa nae Mwenyezi Mungu wakiongozwa na OKW BOBAN SUNZU, Song of Solomon na Wengineo.

Nguvu ya Mwenyezi Mungu kwa ampendae na aliyembariki haizuiliki kamwe na Mashetani walioko / tulionao Duniani.

Wahenga waliposema Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea Mwendo wala hawakukosea.

Na Siku zote Ukimchukia na Kumuombea mabaya ambaye hajakukosea Mwenyezi Mungu hugeuza na kuwa Baraka Kwake.

Asanteni nyote mliochukua muda wenu Kunipigia Kura na wale ambao mtanipigia. Mmeniheshimisha na mnazidi Kuniheshimisha huku mkiwaambua tu Maadui zangu.

Thawabu za Mungu ziwe daima nanyi.
Huyo Mungu ni shemeji yako? Pamoja na matusi yako ya kishenzi Mungu awe upande wako kweli?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Swali lako ungelielekeza kwa Moderators na siyo Mimi kwani Wao ndiyo wanna Uwezo wa kujua kama nina IDs Milioni hapa JamiiForums.
Hizo ni tetesi tu lakini inasemekana eti una ID zaidi ya 90 kweli sio kweli?!
 
NILIJUA WEWE UNAFURAHIA MATUSI KAMA UNAVYOTUKANA WATU HUMU, WEWE NI MTUKANAJI BORA WA MWAKA MTU MWENYE MDOMO MCHAFU ,UKISHINDA BASI HILI LITAKUWA JUKWAA LA MASHETANI,
Wala usiumie Kiongozi sitoshinda na atashinda umtakaye sawa? Wengine tulishabarikiwa na Mwenyezi Mungu tokea anatuumba hivyo unapoteza tu muda wako Kunichukia.

Muombe Mwenyezi Mungu nae akupe Shani ( Tunu ) kama aiizonipa ili Chuki zako Kwangu zimalizike sawa?
 
Back
Top Bottom