Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda umeshapita wa Kupiga hiyo Kura na Jambo jema ni kwamba nimeibuka Mshindi wa Jukwaa la Sports.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!HATIMAYE MSHINDI NI.........
GEEEEEEEEEEENTAAAAAA!!?
Hongera mkuu imeenda mahala husikaMimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
mimi ni yanga pure na baadhi ya maandishi yako siyapendi kabisa lakini siungi mkono kabisa watu kukuchafua na nipo tayari kukusaidia dhidi ya wanaokuchafuaKama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.
Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Asante na Asanteni mno nyote kwa Upendo wenu mkubwa, Imani yenu Kubwa Kwangu na kwa Kunichagua japo OKW BOBAN SUNZU kwa Chuki zake Kubwa Kwangu na Wivu wa Umaarufu wangu aliwahimiza Watu ( Members ) Walionipigia Kura waondoe huku akiwataka Wengine wasinipigie huku akinichafua Kwao na wampe niliyemtimulia Vumbi lakini Nguvu ya Mwenyezi Mungu anayempenda zaidi GENTAMYCINE ikafanya Kazi na Kuibuka Mshindi.Hongera mkuu imeenda mahala husika
Asante, Amina na Ubarikiwe Kiongozi.mimi ni yanga pure na baadhi ya maandishi yako siyapendi kabisa lakini siungi mkono kabisa wstu kukuchagua na nipo tayari kukusaidia dhidi ya wanaokuchafua
Hongera mkuu, hasimu wako Tate Mkuu analalamikia sana ushindi wako sijui ulimkosea nini.Muda umeshapita wa Kupiga hiyo Kura na Jambo jema ni kwamba nimeibuka Mshindi wa Jukwaa la Sports.
Nasikia na Wewe umeshinda kule ulikokuwa Unagombea / Unashindanishwa. Hongera mno kwa Ushindi.Ni mjinga TU angeamini usingeshinda[emoji4]
Mimi siku zote sikuchukiii! Isipokuwa huwa ninachukizwa na baadhi ya taarifa zako za uzushi kuihusu timu yangu ya Yanga, lakini pia huwa nachukizwa na yale matusi yako ya nguoni unayotukana watu hovyo, pale tu unapokosolewa/unapotofautiana mtazamo na mtu mwingine.
AminaKama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.
Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
UMEPATA TSH NGAPI KWA KUSHINDA MWANASIMBA HOE HAE...MAANA SIMBA NI HOE HAE... HAWANA KITU MSIMU HUU KAMA ULIOPITA. NDO MAANA UNAJARIBU KUJIPENDEKEZA SANA KWETU YANGA.Kama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.
Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
Hili ndo tatizo la huyu dogo. Anapenda sifa za kijinga. Akikosolewa anatukana mtu mpaka wazazi wa huyo mtu. Nadhani ana tatizo flani katika makuzi yake.Mimi siku zote sikuchukiii! Isipokuwa huwa ninachukizwa na baadhi ya taarifa zako za uzushi kuihusu timu yangu ya Yanga, lakini pia huwa nachukizwa na yale matusi yako ya nguoni unayotukana watu hovyo, pale tu unapokosolewa/unapotofautiana mtazamo na mtu mwingine.
Nje ya hapo, ni utani tu wa kawaida. Na katika hili nitakuwa muwazi daima; huo ushindi wako wa mchongo, siutambui. Mtu gani wewe unataka kusifiwa tu muda wote!
Hili ndo tatizo la huyu dogo. Anapenda sifa za kijinga. Akikosolewa anatukana mtu mpaka wazazi wa huyo mtu.Mimi siku zote sikuchukiii! Isipokuwa huwa ninachukizwa na baadhi ya taarifa zako za uzushi kuihusu timu yangu ya Yanga, lakini pia huwa nachukizwa na yale matusi yako ya nguoni unayotukana watu hovyo, pale tu unapokosolewa/unapotofautiana mtazamo na mtu mwingine.
Nje ya hapo, ni utani tu wa kawaida. Na katika hili nitakuwa muwazi daima; huo ushindi wako wa mchongo, siutambui. Mtu gani wewe unataka kusifiwa tu muda wote!
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and EntertainerKama Wewe hujawa au siyo miongoni mwa Wawania Tuzo na labda Ulitegemea kuwepo huna haja ya Kumalizia Hasira zako Kwangu GENTAMYCINE kwa Kunitukana na Kunidhalilisha.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE kuwepo tu hapa kwa Wapigiwa Kura ni Ushindi tosha Kwangu na nawashukuru Walionipigia Kura, Watakaonipigia Kura, Uongozi wa JamiiForums kwa Kuniheshimisha na kubwa zaidi namshukuru Mwenyezi Mungu ambaye Kutwa ananibariki na atandelea Kunibariki.
Nguvu ya Mungu haizuiliki daima.
GENTAMYCINEPurely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer