Mnaoishabikia Urusi muwe mnapata aibu kila mkitazama hii picha

Mnaoishabikia Urusi muwe mnapata aibu kila mkitazama hii picha

Mkuu asili mia 70% ya wanajeshi wa Ukraine wamekwisha uwawa na jeshi la Urusi so far, Zelensky anacho fanya hizi sasa ni kuwalazimisha half cooked vijana na wazee kwenda kupigana endless futile counter offensive ambao mara zote wanapigwa vibaya sana na jeshi la Urusi lakini Zelensky anaendelea ku-sacrifice wanajeshi vijana kuwafrahisha Wamerikani - Zelensky ni mtu katiri sana ajali kabisa Waukreini wenzake hata wakifa mamillion yeye anaona SAWA tu.

Naona hujui unachosema unataka kutuaminisha kuwa Jeshi lote la Urusi linapigana na 30% ya askari wa Ukraine Kama ni hivyo basi Ukraine wana jeshi bora sana na Russia ni hovyo kabisa!!
 
Kuna majitu hayaelewi hivi jiulize kwanza hakuna hata destroyer moja iliyotumika unafikiri ikitumika itakuwaje au hamjui maana ya destroyer
 
Wakati Urusi inaanza kuparamia Ukraine, ilikua na kila uwezo wa kuteka Ukraine yote kwa siku tano, huu ndio mfano mzuri wa kubwa jinga...
Maustadh mnalo...

View attachment 2393355
Unapovamia boma au nchi ya watu UJIPANGE kweli kweli siyo kuchukulia mambo kipoa poa tu.
Urusi hii vita itamuathiri sana sana sana. Mwisho watamnyonga Putin😁😂🤣😅
 
Sija kulazimisha kukubaliana na maoni yangu - usifikiri wote tunategemea western Govt handouts au social media trolls kupata liable news - as I said believe what you like/want up2U lakini kumbuka kuna baadhi ya members wanataka kusikia the other side of the story.

Sasa tuje kwenye Russia ku-recruit walinzi 300,000 lengo la Urusi ni kupata walinzi ili wadhibiti sehemu zote ambazo zimetekwa na jeshi la Urusi hao ni walinzi si wanajeshi wa kupigana kwenye front line msiwe mna-spin habari mnazo kalilishwa na MSM.
Serekali inavyotegemea misaada ya world bank, imf na wewe pia uko included
Sija kulazimisha kukubaliana na maoni yangu - usifikiri wote tunategemea western Govt handouts au social media trolls kupata liable news - as I said believe what you like/want up2U lakini kumbuka kuna baadhi ya members wanataka kusikia the other side of the story.

Sasa tuje kwenye Russia ku-recruit walinzi 300,000 lengo la Urusi ni kupata walinzi ili wadhibiti sehemu zote ambazo zimetekwa na jeshi la Urusi hao ni walinzi si wanajeshi wa kupigana kwenye front line msiwe mna-spin habari mnazo kalilishwa na MSM.
Kuna sehemu nimekuambia unategemea western handouts, kwa hiyo wewe unayeshabikia Russia ni kwa sababu unategenea Russian handouts mbona unafikra potofu hivyo na argument ya kijinga

Tumuamin Putin au wewe sababu Putin alisema anahitaji watu 300,000/= waende vitani na sio walinzi
 
Nikuelimishe Jambo hapa!
Hii Vita ni Kati ya Ulaya + USA tena NATO Juzi walisema Urusi akishinda itakuwa imeshindwa Nato.
Pia Vita inayopiganwa sio kuitwaa Ukraine! Bali kuizoofisha Ukraine isijiunge Nato. Pia kuiadhibu Ulaya kwa kimbelembele chake pamoja na USA. Wakati huu USA mfumuko wa Bei ni 8.3, pia Ufaransa hali tete, UK hakufahi hata kidogo, uchumi umedorola ukiachia mbali Putin kuwalamba vichwa ma waziri Wakuu. MATAIFA kama Ujerumani uchumi unayumba kwa ajili ya kusitisha uzalishaji Viwanda, mambo ni mengi.
Ila muda huu ni wa kutafuta ugari, nitarudi kwako J. Pili nikudadavudie misukosuko ya Ulaya with some evidence.
Tupe na hali ya Russia ikoje kimàisha kwa raia wake
 
Na hiyo misaada inayopelekwa kila siku Ukraine imejumlishiwa wapi kwenye hiyo statistics?

Nimesema wakati vita vinaanza kabla misaada, Urusi ilikua kwenye nafasi ya kuparamia Ukraine kwa siku tano, ila kwa walivyo wachovu walichakazwa mbaya mno, na sasa Ukraine wana hizo silaha kama HIMARS ndio mchezo unazidi kunoga, wameishia kufuata wanywa gongo.
 
Nimesema wakati vita vinaanza kabla misaada, Urusi ilikua kwenye nafasi ya kuparamia Ukraine kwa siku tano, ila kwa walivyo wachovu walichakazwa mbaya mno, na sasa Ukraine wana hizo silaha kama HIMARS ndio mchezo unazidi kunoga, wameishia kufuata wanywa gongo.
Tatizo una chicken mind. Inawezekanaje ukaamini marekani inajua exactly statistics ya silaha zinazimilikiwa na Russia
 
Tatizo una chichen mind. Unawezekanaje ukaamini marekani inajua exactly statistics ya silaha zinazimilikiwa na Russia

Urusi huanika mavitu yake na mikwara mingi kumbe useless tu....
 
Sija kulazimisha kukubaliana na maoni yangu - usifikiri wote tunategemea western Govt handouts au social media trolls kupata liable news - as I said believe what you like/want up2U lakini kumbuka kuna baadhi ya members wanataka kusikia the other side of the story.

Sasa tuje kwenye Russia ku-recruit walinzi 300,000 lengo la Urusi ni kupata walinzi ili wadhibiti sehemu zote ambazo zimetekwa na jeshi la Urusi hao ni walinzi si wanajeshi wa kupigana kwenye front line msiwe mna-spin habari mnazo kalilishwa na MSM.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Unapovamia boma au nchi ya watu UJIPANGE kweli kweli siyo kuchukulia mambo kipoa poa tu.
Urusi hii vita itamuathiri sana sana sana. Mwisho watamnyonga Putin[emoji16][emoji23][emoji1787][emoji28]
Nyonga kabisa hiyo trash PUTIN
 
Back
Top Bottom