Mnaojenga Nyumba ya ghorofa kwa ajili ya kuishi mnazipendea nini?

Mnaojenga Nyumba ya ghorofa kwa ajili ya kuishi mnazipendea nini?

Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zinachangamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida..
Mwisho utakuja kuuliza watu waliwapendea nini wake zao wakati hawana lolote, na ilikuwaje walimruka mke wako na kwenda kuoa hao wengine.
 
Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zinachangamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida..
Siku hizi unajua watu wanaweka lift hadi majumbani?? Suala la kutojenga ghorofa kisa kupanda ngazi uzeeni sio sababu tena, lift zipo Kariakoo tu hapo vifaa vyake vinauzwa na mafundi wa kukuwekea wapo
 
Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zinachangamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida..
Pia wanajenga ghorofa kwasababu wanataka ile view ya kutazama mtaa ama mji kutokea kwa juu. Siku hizi kuna nyumba zina sebule mbili moja ya chini nyengine ya juu yenye baraza ili wakazi wa nyumba wavinjari wakipunga upepo huku wanatazama mji tokea baraza yao ya juu ya ghorofani
 
Salam.

Unajenga nyumba ya ghorofa ili iweje
Kwnza uoni ni usumbifu unadhani ukizeeka utaweza kupanda ngazi.
Pia ni risk unakuta mtu mlevi nae anaishi kwenye ghorofa ukianguka kwenye ngazi je?

Nyumba za ghorofa zinachangamoto nyingi
Ghorofa zibaki kwa vitega uchumi na maofisi tu lakini kwa ajili ya kuishi Jenga nyumba ya kawaida..
Ni hobbie tu ya mtu kujenga kighorofa, hata mimi nikiokota hela lazima nijenge kighorofa uchwara.

Swala la ukizeeka itakuaje, hujawahi kujiuliza wale wamejenga milimani huwa wanafikaje nyumbani? Jibu ni kwamba palipo na changamoto ndipo akili inafunguka.
 
Kujenga ghorofa ni kawaida? Hapo kuna mawili, kwanza labda utakua na pesa sana
Au pili hujawahi kujenga hata banda la kuku kwahiyo hujui hata msumari unauzwaje
Halina uajabu wowote narudia tena naona hapa hao wabongo washamba wa ghorofa na wewe ni mmoja wao

Bei ya msumari ndio kitu gani?wabongo kwa kupenda kutishana wakati hakuna lisilowezekana chini ya jua.
 
Napenda sana maghorofa. Kuna private ya hali ya juu huko juu. Unashuka chini umemaliza kila kitu. Unaweza fungua madirisha wazi bila kuwaza kuna mtu atapita pembeni ya dirisha na kukuchora. Pia kadri unavyoenda juu ndivyo unavyopata upepo na hewa nzuri zaidi. Hewa nzito kutoka chemba za majitaka huwa na kawaida ya kuelea chinichini.
 
GF.jpg


GF1.jpg
 
Hakuna hoja!

Mtu mwenye uwezo wa kujenga ghorofa hashindwi kuweka elevator /"lift" au kaangalie majengo ya hospital uone miundombinu inayowekwa siku hizi ambapo hata wheelchair inapanda bila elevator.
 
Back
Top Bottom