Huwa wanafanya hivyo mtu anatumia mguu wa kushoto halafu anacheza winga ya kilia ili muda fulani aweze kuingia ndani ya uwanja na kuweza kupita hata mashuti kama alivyokuwa anafanya Ruben.
Kitu nachokiona kwa hawa wachezaji wa sasa mfano Balua, ni uwezo mdogo wa kuinufaisha timu kwa kutokea winga ya kulia kwa mguu wa kushoto. Ruben alikuwa ana uwezo sana na ikitokea amebribo akitandika shuti golini makipa walikuwa hawadaki.