Simao Latino
JF-Expert Member
- Jan 11, 2025
- 477
- 608
- Thread starter
- #201
Nimemcheka nani??..Umetoka vingunguti unaenda kuwacheka wa mwembeyanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemcheka nani??..Umetoka vingunguti unaenda kuwacheka wa mwembeyanga
Sijaishi ushuani Ila nimepata mialiko mingi so far sioni kwenye misosi cha ajabu coz wazee wangu walikuwa vizuri kipindi tunakuwa.....Sio kweli wewe bado hujaitembelea Dar vizuri na hupajui Dar vizuri kuna area ukienda utasema hapa sio Dar ni New York, cha kukushauri fanya utalii wa Ndani tembelea maeneo tofauti ingia majengo mengi mengi mengi utakuja kunielewa ukitoka huko kwenye mijengo hamia upande wa pili ukawaone watu wanavyoishi hapa nyumba pale choo
Temeke wasaidiwe mkuu..
Hhhhhhh hiyo ndo sekta yakeMdau mwandamizi senior 😊😊
....ni wengi mnoo mkuu.Sijaishi ushuani Ila nimepata mialiko mingi so far sioni kwenye misosi cha ajabu coz wazee wangu walikuwa vizuri kipindi tunakuwa.....
Exposure nimezipata mapema kidogo.......
Lakini dar bado wenye njaa ni wengi
Mkuu, na wewe ni WA Temeke??..Mpaka machozi yakamtoka 😅
Temeke panatisha mdau..Umasikini tunajaribu kuupunguza na sio kuumaliza.
Hata ungekuwa na kila kitu bado sifikirii kama ungeweza kufanikiwa kuumaliza Umasikini hapa Tanzania.
TMK ni zaidi ya hatari..Buguruni ambayo Kila mwaka ni kipindupindu.
Hii ipi Kino na sio TMK..Na Manzseshe Jee?
Temeke wasaidiwe mkuu hakuna namna aisee..Mwamba alijisikitikia mwenyewe. 😁
Haujui?Nimemcheka nani??..
TMK Mikoroshini au Keko??..Ndio kumetulea.
Ningejua ningeuliza??..Haujui?
Sawa Ila haujatembea na hujakutana mamboTemeke panatisha mdau..
Mimi ningekupongeza. Ila kwa ulichofanya, sitakusahau kwenye sala zanguNingesema niliwasaidia wale watoto, mngenirushia tena wale "KWA HIYO NDIO UMEKUJA KIJITANGAZA JF ILI UONEKANE UNA ROHO NZURI??"
Hivi tule tumishikaki, visamaki vya kukaanga na mihogo ya koko bichi, wanaowekewa kule ni wa Mbagala?Kule mbagala Kuna sehemu wanauza ngozii na kende za mbuzi/ ngombe Kuna utumbo wa kuku Kuna supu ya miguu ya nguruwe
Balaa Kuna rafiki angu mmoja alikua anapitia magumu akawa anaenda kula ngozi na supu yake yaan fresh kabisa..
Sawa mkuu ila wengi (90%) wangesema kuwa ninajionesha kuwa nina roho njema..Mimi ningekupongeza. Ila kwa ulichofanya, sitakusahau kwenye sala zangu
noted..vp msongolaIko Kinondoni 😭😭😭
Zile Kuna jamaa akaanzisha na thread kasema zinauzwa Bei juu coco wakati mbagala ni Bei chee kabisaa yaan jero unashibaaa😊😅Hivi tule tumishikaki, visamaki vya kukaanga na mihogo ya koko bichi, wanaowekewa kule ni wa Mbagala?