zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Sio kweli wewe bado hujaitembelea Dar vizuri na hupajui Dar vizuri kuna area ukienda utasema hapa sio Dar ni New York, cha kukushauri fanya utalii wa Ndani tembelea maeneo tofauti ingia majengo mengi mengi mengi utakuja kunielewa ukitoka huko kwenye mijengo hamia upande wa pili ukawaone watu wanavyoishi hapa nyumba pale chooUpo sahihi mimi sioni Cha kubishana dar karibu kote Hali ni ile ile
wapo wanaoshindia mihogo, viazi, au supu , chai au wengine pasi ndefu hizo zote naelewa
wapuuze tuu
Na Manzseshe Jee?Hivi Tandale ipo wilaya gani
Ununio, Mbweni, Masaki, O-bey pako vema sana..Sio kweli wewe bado hujaitembelea Dar vizuri na hupajui Dar vizuri kuna area ukienda utasema hapa sio Dar ni New York, cha kukushauri fanya utalii wa Ndani tembelea maeneo tofauti ingia majengo mengi mengi mengi utakuja kunielewa ukitoka huko kwenye mijengo hamia upande wa pili ukawaone watu wanavyoishi hapa nyumba pale choo
Wewe hukai Ilala. Mwandiko wako wa Kanda ya ziwa
Mke wangu unanichokoza??..Ni kweli
Wenyeji wengi wa Dar hawatumii neno wilaya kama huyu
Huyu ni wa mkoani
Mwamba alijisikitikia mwenyewe. 😁No matter unakaa TMK au Ilala ila kitendo cha OP kukosa hata 500 ya ziada mfukoni kulikuwa hamna haja ya kuanzisha huu uzi 😅🚮🚮
Wait, una uhakika hayo machozi yalikutoka kwaajili ya hao watoto kweli?? 😂
Na Manzseshe Jee?Hivi Tandale ipo wilaya gani
Pia, Buguruni kwa Mnanyami???Iv sharifu shamba ipo ushuani sio
Afadhali iko kwa wenzako, kwako ni pagumu kama nduguzo wa Temeke.Ilala kuna uafadhali mkuu..
Buguruni ambayo Kila mwaka ni kipindupindu.Hivi Tandale ipo wilaya gani
Hujaenda kurasiniTMK pa kishua labda ni Chang'ombe Sigara kule karibu na maduka mawili
Generally speaking, Ilala kuna unafuu kuzidi Temeke..Afadhali iko kwa wenzako, kwako ni pagumu kama nduguzo wa Temeke.
Kota za Bandari kanisa katoliki au nyuma ya chuo cha police??..Hujaenda kurasini
Sio poaAfadhali iko kwa wenzako, kwako ni pagumu kama nduguzo wa Temeke.
Oya usikanyage hapo huo waya uliobanduka unapitisha umeme utachezea shoti, kua makiniKota za Bandari kanisa katoliki au nyuma ya chuo cha police??..
Maeneo yote hayo kumetulia.Kota za Bandari kanisa katoliki au nyuma ya chuo cha police??..
100% FactNi kweli
Wenyeji wengi wa Dar hawatumii neno wilaya kama huyu
Huyu ni wa mkoani
Unafahamu kama Vingunguti na Buguruni Mnyamani ni Ilala?Generally speaking, Ilala kuna unafuu kuzidi Temeke..
Temeke mmefikiwa leo haha hamtaki kuongelewa vibaya, namsuburia Alubati Chalamila na press release yake kuhusu hili jambo100% Fact