Mnaolinganisha mafanikio ya Rais Samia na Rais Nyerere, huenda mna tatizo la afya ya akili kwa kutozingatia ukweli huu hapa

Mnaolinganisha mafanikio ya Rais Samia na Rais Nyerere, huenda mna tatizo la afya ya akili kwa kutozingatia ukweli huu hapa

Nyerere alikuwa na maono na hakuwa mdokozi na pia hakuwahurumia wezi wa fedha za umma. Angetawala zama hizi nchi ingepaa zaidi kiuchumi kuliko hali hii tulionayo leo.
Pia linganisha deni la Nyerere na Samia kwa wakati ule ukiangalia thamani ya dollar enzi zake na wakati huu.
Kulinganisha Samia na Nyerere ni sawa na kulinganisha ugonjwa na uzima au kipere na mlima Everest. Nyerere alikuwa na akili na busara pia elimu. Alijua alichokuwa akifanya. Alitawala kwa sera na siyo sifa. Nyerere alijitengeneza hakutengenezwa. Nyerere alikuwa rare breed katika ulimiwengu wa sasa ulijaa vilaza na madikteta na machawa.
 
Mkuu, udhaifu wa kibinadamu kuna mtu, au maraisi waliofuatia ambae hakuwa nao? Hata hivyo, tusije tukaanza kuita ufisadi ni udhaifu wa kibinadamu!
Ni wachache sana wanaopewa nafasi ya urais halafu wanaepuka kabisa suala zima la kuwa mafisadi.

Usafi wako wewe rais hauwezi kuvishinda vishawishi vya ndugu na jamaa wanaokuzunguka.
 
Machawa yanapokuwa na jambo lao, yako tayari kusema lolote
 
Nyerere hawez kosa mapunguf as long as ni mwanadamu.Lakin hii hulka ya kumlinganisha JKN iliyoanza kuvuma zaid awamu ya tano,kiukweli ni ishara mbaya kwa msingi wa Taifa.Ila ni vema voingoz wa awamu husika wakemee hiyo tabia kulinda ldgacy ya baba wa taifa.
 
Kwamba serikali ya nyerere haikukopa!?..kuna deni la nyerere alilipa kikwete,misaada ilikata kwa kuwa kambi ya ujamaa ilikua hoi kasoro sweden,kaka mkuu mwenyewe alikua hoi,wahuni wa kukopesha wakaingia mzigoni na masharti yaliyomshinda mjamaa,akang'atuka
🤣 🤣 🤣
 
Nyerere halinganishiki na rais yeyote yule aliyepita, aliyepo na atakayekuja. Wale ni aina za watu unawapata mara moja baada ya vizazi vingi sana. Sio malaika, wala sio mkamilifu na wala sio kuwa sera zake zote zilikuwa nzuri, ama alifuata demokrasia 100%, ama hakufanya makosa ya kiuongozi na kiutendaji. Ila tu vision kubwa ya kitaifa aliokuwa nayo, charisma yake, na misingi ya maendeleo aliyoijenga yanampa wasifu wa kuwa mbali sana na marais wote wa Tanzania waliopita, sasa na watakaokuja.
 
Huyo Nyerere wakati wake magazeti yalikuwa matatu tu, uhuru wa habari ungekuwa sawa na leo tungeyajua madhambi yake mengi.
Hata kama yangekuwepo magazdti milioni, Nyerere kumlinganisha na Rais yeyote Tanzania na Africa ni kuikosea heshima Tanganyika, na Africa kwa ujumla. Mfano wa Nyerere hajazaliwa bado. Sitarajii kuona Kiongozi anakataa zawadi alipostaafu na hataki hata kujengewa nyumba ya kuishi.
 
Huyu mama toka aingie namuona anaipromote kizimkazi tu
[/QUOTE ]
Hili jambo mkuu binafsi nililitegemea na cjui kama litaisha leo.Nilkuwa naona kama nnaota vile,nilivokua nikiona na kuskia watz tunashadadia Rais wa awam ya tano kuipromote chato yao.Hii kasumba tusipo angalia itakuja kuleta ukabaila/ukanda kama kenya kitu ambacho Mwl.JKN alkiona uhatari wake.Kwahyo huyo Mama ameshaona akili za watz hazna shda mtuu kupapendelea kwao.
 
Na ndiyo maana mimi sijawahi mkubali Magufuri kwa sababu ameleta mgawinyiko na matabaka nchini mwetu.
 
Kuna watu wamekuwa kero kama kelele za mbu karibu na sikio. Wanalinganisha mafanikio ya Raisi Samia na yale aliyofanya Raisi Nyerere enzi za uraisi wake. Wanashindwa kabisa kutambua Nyarere kama Raisi hawakuwa na wigo wa serikali kupata mapato alionao Samia hivi sasa. Leo hii ukilinganisha hela aliyokuwa nayo Nyerere kwa ajili ya miradi ya maendeleo huenda ni 15% tu ya fedha alizo nazo Raisi Samia.

Fikiria miradi michache tu ya Nyerere katika hali duni ya uchumi enzi hizo; TAZARA; bomba la mafuta kwenda Zambia; uanzishaji wa viwanda vya umma kama vya chai, viatu, nguo kama Urafiki, Mwatex, vinu vya pamba, vifaa vya kilimo, cement, nk; benki ya CRDB, NBC; ujenzi wa nyumba za National Housing nchi nzima; barabara ya Tanzam Dar es Salaam hadi Zambia; mpango wa elimu ya msingi kwa watoto wote UPE; Miradi ya umeme ya maji ya Mtera, Hale, Kidatu, Nyumba ya Mungu, Uwemba, Pangani; ujenzi wa Chuo Kikuu cha DSM; Chuo Kikuu cha Sokoine; Mzumbe IDM; Chuo Cha Ardhi, meli na vivuko vya taifa.

Pia ujenzi wa mahoteli ya Taifa kama Kilimanjaro; vyuo vya Elimu kama Chang'ombe, Tabora nk; IFM Dar; vyuo vya Kilimo kama Uyole na Tabora; vyuo utabibu; Shirika la Elimu Kibaha; Shirika la Ndege ATC; Shirika la Reli TRC na treni za abiria za kila siku; elimu bure hadi Chuo Kikuu; matibabu bure kwa watanzania wote; bomba za maji za jumuia bure (gati); wanafunzi kula bure shuleni na kusafiri bure kwenda likizo hadi Chuo Kikuu; serikali kumudu gharama za wote wanaostahili kwenda JKT kwa kujitolea au mujibu wa sheria; Kila Mbunge kupewa gari ya serikali; kumudu gharama za vita ya Kagera; Kumudu gharama za kusaidi Ukombozi wa Afrika, nk.

Sasa bado unataka kusema Raisi Nyerere hakufanya kitu japo yote haya kwa zile fedha ndogo za kodi na mikopo alizokuwa nazo?

Na ukitaka kujua kwamba Nyerere bado angemzidi sana Samia, leo hii katika mapatao tunayopata kama nchi, mweke Nyerere kama raisi wa nchi ndio ungefikiria tungekuwa wapi, ukitambua kwamba karibu 40% ya mapato ya nchi inapotelea kwenye mifuko ya viongozi kwa ufisadi.

Na kabla hujamlinganisha Raisi Samia na Raisi Nyerere kwa miradi ya Taifa, kumbuka utekelezaji huo wa miradi ni deni la taifa, na jiulize tumefikia wapi kwenye deni la taifa, na linganisha na Nyerere kama yale aliyofanya yaliathiri vipi deni la taifa. Kwani nani ambae akipewa mkopo wa shilingi Bilioni mia moja, atashindwa kujenga vituo kumi vya afya ili watu wamsifie anapiga mwingi?

Badala ya kuwasifia wananchi kwa uvumilivu kutokana na mzigo wa kodi wanazotozwa na deni la taifa wanalotwishwa kila mwaka, tunawezaje kuimba kupita kiasi nyimbo za kumsifia sifia mtu ambae anatumia hizo kodi na fedha zetu kuwa anatuletea miradi mingi? Kwa nini watu wanashindwa kuelewa jambo dogo kama Raisi Samia anatoa wapi hizo fedha za hiyo miradi? Zinatoka kwenye biashara ya familia yake?

Hatuna tatizo kama watu mmeamua kuwa chawa, lakini msiwe chawa wajinga wa kumlinganisha Raisi Samia na Raisi Nyerere katika kutekeleza miradi ya taifa. Miradi aliyofanya Nyerere ndani ya miaka 23 ya utawala wake kwa fedha ndogo alokuwa nayo, si rahisi kwa Raisi Samia kuitekeleza hata kwa fedha ya kodi na mikopo aliyonayo hata tukimpa miaka 30 ya kuwa raisi wa Tanzania bara!
Ndio sawa na miaka 25 aliyokaa madarakani?

By the way sidhani kama wanalinganisha ila wanaeleza mafanikio ya uhuru kutoka ilivyokuwa Hadi Sasa.

Ligi ni awamu ya 5 vs awamu ya 6,,usitutoe kwenye reli.
 
Kuna watu wamekuwa kero kama kelele za mbu karibu na sikio. Wanalinganisha mafanikio ya Raisi Samia na yale aliyofanya Raisi Nyerere enzi za uraisi wake. Wanashindwa kabisa kutambua Nyarere kama Raisi hawakuwa na wigo wa serikali kupata mapato alionao Samia hivi sasa. Leo hii ukilinganisha hela aliyokuwa nayo Nyerere kwa ajili ya miradi ya maendeleo huenda ni 15% tu ya fedha alizo nazo Raisi Samia.

Fikiria miradi michache tu ya Nyerere katika hali duni ya uchumi enzi hizo; TAZARA; bomba la mafuta kwenda Zambia; uanzishaji wa viwanda vya umma kama vya chai, viatu, nguo kama Urafiki, Mwatex, vinu vya pamba, vifaa vya kilimo, cement, nk; benki ya CRDB, NBC; ujenzi wa nyumba za National Housing nchi nzima; barabara ya Tanzam Dar es Salaam hadi Zambia; mpango wa elimu ya msingi kwa watoto wote UPE; Miradi ya umeme ya maji ya Mtera, Hale, Kidatu, Nyumba ya Mungu, Uwemba, Pangani; ujenzi wa Chuo Kikuu cha DSM; Chuo Kikuu cha Sokoine; Mzumbe IDM; Chuo Cha Ardhi, meli na vivuko vya taifa.

Pia ujenzi wa mahoteli ya Taifa kama Kilimanjaro; vyuo vya Elimu kama Chang'ombe, Tabora nk; IFM Dar; vyuo vya Kilimo kama Uyole na Tabora; vyuo utabibu; Shirika la Elimu Kibaha; Shirika la Ndege ATC; Shirika la Reli TRC na treni za abiria za kila siku; elimu bure hadi Chuo Kikuu; matibabu bure kwa watanzania wote; bomba za maji za jumuia bure (gati); wanafunzi kula bure shuleni na kusafiri bure kwenda likizo hadi Chuo Kikuu; serikali kumudu gharama za wote wanaostahili kwenda JKT kwa kujitolea au mujibu wa sheria; Kila Mbunge kupewa gari ya serikali; kumudu gharama za vita ya Kagera; Kumudu gharama za kusaidi Ukombozi wa Afrika, nk.

Sasa bado unataka kusema Raisi Nyerere hakufanya kitu japo yote haya kwa zile fedha ndogo za kodi na mikopo alizokuwa nazo?

Na ukitaka kujua kwamba Nyerere bado angemzidi sana Samia, leo hii katika mapatao tunayopata kama nchi, mweke Nyerere kama raisi wa nchi ndio ungefikiria tungekuwa wapi, ukitambua kwamba karibu 40% ya mapato ya nchi inapotelea kwenye mifuko ya viongozi kwa ufisadi.

Na kabla hujamlinganisha Raisi Samia na Raisi Nyerere kwa miradi ya Taifa, kumbuka utekelezaji huo wa miradi ni deni la taifa, na jiulize tumefikia wapi kwenye deni la taifa, na linganisha na Nyerere kama yale aliyofanya yaliathiri vipi deni la taifa. Kwani nani ambae akipewa mkopo wa shilingi Bilioni mia moja, atashindwa kujenga vituo kumi vya afya ili watu wamsifie anapiga mwingi?

Badala ya kuwasifia wananchi kwa uvumilivu kutokana na mzigo wa kodi wanazotozwa na deni la taifa wanalotwishwa kila mwaka, tunawezaje kuimba kupita kiasi nyimbo za kumsifia sifia mtu ambae anatumia hizo kodi na fedha zetu kuwa anatuletea miradi mingi? Kwa nini watu wanashindwa kuelewa jambo dogo kama Raisi Samia anatoa wapi hizo fedha za hiyo miradi? Zinatoka kwenye biashara ya familia yake?

Hatuna tatizo kama watu mmeamua kuwa chawa, lakini msiwe chawa wajinga wa kumlinganisha Raisi Samia na Raisi Nyerere katika kutekeleza miradi ya taifa. Miradi aliyofanya Nyerere ndani ya miaka 23 ya utawala wake kwa fedha ndogo alokuwa nayo, si rahisi kwa Raisi Samia kuitekeleza hata kwa fedha ya kodi na mikopo aliyonayo hata tukimpa miaka 30 ya kuwa raisi wa Tanzania bara!
Sidhani kama Kuna watu wanamlinganisha samia na nyerere ni kumkosea heshima baba wa taifa. Maana alive aliweza fanya mengi pasipokuwa na hela. Ila niliwahi ona watu wakimlinganisha magu na baba taifa au magu na Samia na ukweli Samia amefanya mengi kuliko hata huyo magu ila hajafikia hata robo ya baba wa taifa
 
Ni wachache sana wanaopewa nafasi ya urais halafu wanaepuka kabisa suala zima la kuwa mafisadi.

Usafi wako wewe rais hauwezi kuvishinda vishawishi vya ndugu na jamaa wanaokuzunguka.
Ikiwa Abdul atafanya ufisadi kwa kivuli cha mama yake Raisi Samia, halafu siku akifikishwa mahakamani Samia ajitetee kwamba mimi sikuwa na habari wala kuhusika na uvunjaji sheria aliokuwa anafanya kwa kutumia mgongo wangu, atakuwa hasemi kweli!
 
Ikiwa Abdul atafanya ufisadi kwa kivuli cha mama yake Raisi Samia, halafu siku akifikishwa mahakamani Samia ajitetee kwamba mimi sikuwa na habari wala kuhusika na uvunjaji sheria aliokuwa anafanya kwa kutumia mgongo wangu, atakuwa hasemi kweli!
Unaweza kuweka humu ushahidi wa biashara anayoifanya Abdul au ni ule ule ujinga wa mipasho ya mitaani?.
 
Back
Top Bottom