Mnaomshambulia RC wa Arusha, mnafurahia kiongozi wetu kutukanwa?

Mnaomshambulia RC wa Arusha, mnafurahia kiongozi wetu kutukanwa?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!!


Nimefuatilia hotuba fupi ya RC wa Arusha, ilijaa utulivu na mtiririko uliopangika kabisa, hivyo kusema kuwa aliropoka, Si Kweli, alidhamiria kusema aliyosema,

Tangu Mropokaji yule achafue Hali ya hewa majuzi, Waziri wa habari hakusema chochote, waziri wa Mambo ya nje kadharika aliamua kukaa kimya, Hilo pekee linatosha kumpa RC ujasiri wa Kutoka kukemea,ukizingatia, ameyasema hayo ndani ya Mkoa wake kimamlaka.

Kwa kuwa watu wale wale waliomtukana Shujaa Magu, ndio hao hao wanaorudi kumtukana Sa100
, ni sawa kabisa RC atoke kukemea.

NB: Kwa kuwa tumekubali kutolewa katika mijadala muhimu kama Tume ya Uchaguzi kubadilishwa Jina,KATIBA mpya, DP world kuanza KAZI bila kutaja wamewekeza Bei Gani, Ripoti ya CAG kuwekwa pembeni Kwa kuibua HOJA hafifu za kujadili matusi, basi tuendelee!!!

Karibuni🙏
 
Kwa hiyo na wewe unaamini kuna watendaji na washauri wa karibu wa Rais (Mawaziri) wanamtukana Bosi wao! Kama ni kweli basi inawezekana huyo Bosi wao atakuwa ana mapungufu mengi ya kiuongozi bila shaka.
Kwani Magu alichorwa vikatuni na akina nani?
 
Mtajuana wenyewe 😄😄

IMG-20240409-WA0000.jpg
 
Unaniuliza mimi tena! Na kama alichorwa hivyo vikatuni na Mawaziri wake, basi na yeye mwenyewe alikuwa ana mapungufu mengi kwenye uongozi wake.
Kiongozi wetu avae ujasiri na kuwatimua wahuni ndani ya chama na Serikali.

Wananchi tunabaki tunawashangaa viongozi wetu!!
 
Huihui2 kwanini hukemei wanaomtukana kiongozi wetu mitandaoni?

We Kila kukicha RC!!
 
Salaam, shalom!!


Nimefuatilia hotuba fupi ya RC wa Arusha, ilijaa utulivu na mtiririko uliopangika kabisa, hivyo kusema kuwa aliropoka, Si Kweli, alidhamiria kusema aliyosema,

Tangu Mropokaji yule achafue Hali ya hewa majuzi, Waziri wa habari hakusema chochote, waziri wa Mambo ya nje kadharika aliamua kukaa kimya, Hilo pekee linatosha kumpa RC ujasiri wa Kutoka kukemea,ukizingatia, ameyasema hayo ndani ya Mkoa wake kimamlaka.

Kwa kuwa watu wale wale waliomtukana Shujaa Magu, ndio hao hao wanaorudi kumtukana Sa100
, ni sawa kabisa RC atoke kukemea.

NB: Kwa kuwa tumekubali kutolewa katika mijadala muhimuma Tume ya Uchaguzi kubadilishwa Jina,KATIBA mpya, DP world kuanza KAZI bila kutaja wamewekeza Bei Gani, Ripoti ya CAG kuwekwa pembeni Kwa kuibua HOJA hafifu za kujadili matusi, basi tuendelee!!!

Karibuni🙏
Lisemwalo lipo
 
Nitaendelea kulia na wafanya maamuzi wa hii nchi hasa wale wasioonekana Kwa public!!

SIASA IWE KAZI YA KIZALENDO SIO KAZI YA MAPESA MENGI NA KUTAJIRIKIA KAMA ILIVYO SASA!!

TUNATAKA MATAJIRI WATOKANE NA KILIMO CHA KISASA,BIASHARA,UELEDI KATIKA ELIMU NA UTAFITI NA SIO SIASA!!

NANI ASIMAMIE HILI NDUGU ZANGU!!?

NANI ATUTOE KWENYE HILI JANGA!!?

NANI ASHUSHE MISHAHARA NA POSHO PLUS ANASA SIASANI!!?SIO MIMI!!?NANI MWINGINE!!?
WABUNGE WAPOKEE ROBO YA MSHAHARA WA SASA NA POSHO ZAO!!SIASA IWE KAZI YA KUJITOLEA NA SIO KAZI YA MAPESA!!

MUNGU IBARIKI Tanzania!
 
Kwa hiyo ni kweli kuwa Mange analipwa na waziri wa fedha Mwigulu Nchemba kumtukana Mh. Rais ?
 
Salaam, shalom!!


Nimefuatilia hotuba fupi ya RC wa Arusha, ilijaa utulivu na mtiririko uliopangika kabisa, hivyo kusema kuwa aliropoka, Si Kweli, alidhamiria kusema aliyosema,

Tangu Mropokaji yule achafue Hali ya hewa majuzi, Waziri wa habari hakusema chochote, waziri wa Mambo ya nje kadharika aliamua kukaa kimya, Hilo pekee linatosha kumpa RC ujasiri wa Kutoka kukemea,ukizingatia, ameyasema hayo ndani ya Mkoa wake kimamlaka.

Kwa kuwa watu wale wale waliomtukana Shujaa Magu, ndio hao hao wanaorudi kumtukana Sa100
, ni sawa kabisa RC atoke kukemea.

NB: Kwa kuwa tumekubali kutolewa katika mijadala muhimu kama Tume ya Uchaguzi kubadilishwa Jina,KATIBA mpya, DP world kuanza KAZI bila kutaja wamewekeza Bei Gani, Ripoti ya CAG kuwekwa pembeni Kwa kuibua HOJA hafifu za kujadili matusi, basi tuendelee!!!

Karibuni🙏

Hivi ni kina nani walikuwa wanatoa siri za ikulu na kumpa huyo binti wa Marekani na upinzani wakati wa JPM, kuna taarifa ni Samia na hao vijana wake ndio walikuwa wahusika wakuu. Kwahiyo nafikiri ni sahihi kusema wanajuana.

Samia alipoingia tu kwenye kiti waliacha kuvujisha taarifa za ikulu.
 
Nitaendelea kulia na wafanya maamuzi wa hii nchi hasa wale wasioonekana Kwa public!!

SIASA IWE KAZI YA KIZALENDO SIO KAZI YA MAPESA MENGI NA KUTAJIRIKIA KAMA ILIVYO SASA!!

TUNATAKA MATAJIRI WATOKANE NA KILIMO CHA KISASA,BIASHARA,UELEDI KATIKA ELIMU NA UTAFITI NA SIO SIASA!!

NANI ASIMAMIE HILI NDUGU ZANGU!!?

NANI ATUTOE KWENYE HILI JANGA!!?

NANI ASHUSHE MISHAHARA NA POSHO PLUS ANASA SIASANI!!?SIO MIMI!!?NANI MWINGINE!!?
WABUNGE WAPOKEE ROBO YA MSHAHARA WA SASA NA POSHO ZAO!!SIASA IWE KAZI YA KUJITOLEA NA SIO KAZI YA MAPESA!!

MUNGU IBARIKI Tanzania!
Ingia Uzi wa nyani ngabu, Kuna video kaipost kiranga, ichunguze ,Kisha utajua Kwa sasa Hali ilipofikia huko ndani, ni beyond repair.
 
Hivi ni kina nani walikuwa wanatoa siri za ikulu na kumpa huyo binti wa Marekani na upinzani wakati wa JPM, kuna taarifa ni Samia na hao vijana wake ndio walikuwa wahusika wakuu. Kwahiyo nafikiri ni sahihi kusema wanajuana.

Samia alipoingia tu kwenye kiti waliacha kuvujisha taarifa za ikulu.
Huwa nampinga sana Rc wa Arusha,

Katika hili Yuko sawa,

Sa100 afumbe macho awatimue.
 
Salaam, shalom!!


Nimefuatilia hotuba fupi ya RC wa Arusha, ilijaa utulivu na mtiririko uliopangika kabisa, hivyo kusema kuwa aliropoka, Si Kweli, alidhamiria kusema aliyosema,

Tangu Mropokaji yule achafue Hali ya hewa majuzi, Waziri wa habari hakusema chochote, waziri wa Mambo ya nje kadharika aliamua kukaa kimya, Hilo pekee linatosha kumpa RC ujasiri wa Kutoka kukemea,ukizingatia, ameyasema hayo ndani ya Mkoa wake kimamlaka.

Kwa kuwa watu wale wale waliomtukana Shujaa Magu, ndio hao hao wanaorudi kumtukana Sa100
, ni sawa kabisa RC atoke kukemea.

NB: Kwa kuwa tumekubali kutolewa katika mijadala muhimu kama Tume ya Uchaguzi kubadilishwa Jina,KATIBA mpya, DP world kuanza KAZI bila kutaja wamewekeza Bei Gani, Ripoti ya CAG kuwekwa pembeni Kwa kuibua HOJA hafifu za kujadili matusi, basi tuendelee!!!

Karibuni🙏
Hao viongozi wote, mawaziri mpaka rais, wanashindwa kuongea kwenye vikao vyao wakamalizana ndani ya vikao?

Wananchi wakiona viongozi wanazozana kuhusu wao kwa wao kutukanana, ujumbe ni kwamba uongozi mzima ni mbovu, bila ya kujali nani anatukana na nani anatukanwa.

Unaweza kufikiri kauli za Makonda zinawamulika wanaomtukana rais tu, na kumlinda rais, lakini, kiukweli kauli zile zinamuumbua mpaka rais.

Kwa sababu, mawaziri ni wateule wa rais. Ni watu wenye access na mambo mengi. Ni watu wanaotakiwa kuchujwa na kufanyiwa vetting kabla ya kuteuliwa kuwa mawaziri.

Sasa imekuwaje wamtukane rais?

Ni kwamba hawa mawaziri ni watu wa ovyo kabisa kiasi kwamba wanamchafua rais? Ikiwa hawa ni watu wa ovyo, wamewezaje kupenya mpaka kuwa mawaziri? Ina maana rais alizembea katika mchujo wake na vetting ya kuteua watu wawe mawaziri, ameteua watu wa ovyo kuwa mawaziri?

Kama hawa mawaziri ni watu wa ovyo hivyo, basi rais naye ana makosa ya kuteua watu wa ovyo hivyo kuwa mawaziri. Katupatia mawaziri wanaotuletea misukosuko katika uongozi.

Otherwise, mawaziri labda wanasema kweli na hayo yanayosemwa kuwa ni matusi yanaweza kuwa ni fair criticism. Viongozi wameshindwa kukosoana kistaarabu katika vikao huko, rais kakosea wapi mpaka mawaziri wanashindwa kumkosoa kistaarabu katika vikao husika mpaka Makonda anaongelea mambo haya kwenye jukwaa?

How will the president escape this responsibility?
 
Back
Top Bottom