econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hapo kakosea Sana. Kuna mambo huwezi kutamka in public.Imezidi Hadi Ile ya chongolo yaani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kakosea Sana. Kuna mambo huwezi kutamka in public.Imezidi Hadi Ile ya chongolo yaani!!
Umeongea kweli mkuu.Aliyekuwa Katibu Mwenezi ambaye ni RC Arusha sasa, aliteuliwa siku DP World wanasaini HGA.
Ndipo uone, mtu huyu anatumika kuzima mijadala muhimu ya kitaifa isijadiliwe ipasavyo.
Tustuke.
Nilichokiona kwenye maono Si kizuri,Mange ameamua kujua kabisa. Ila kwa shilole sio kweli.
Nakubaliana na wewe, kwa nini wamtukane kifichoni, labd wameona mapungufu mengi kwake na wanashindwa kumueleza...Kwa hiyo na wewe unaamini kuna watendaji na washauri wa karibu wa Rais (Mawaziri) wanamtukana Bosi wao! Kama ni kweli basi inawezekana huyo Bosi wao atakuwa ana mapungufu mengi ya kiuongozi bila shaka.
Adui wa mtu,ni yule wa nyumbani mwake .Nakubaliana na wewe, kwa nini wamtukane kifichoni, labd wameona mapungufu mengi kwake na wanashindwa kumueleza...
Pamoja na hayo, kwa nini waendelee na uwaziri, huo ni uwoga na unafiki.
Kusagana tena, astaghafululah