Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #21
Tatizo si eneo.Labda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu
Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Hata kama eneo kubwa ila ni ndani ya Ikulu, tatizo tiaiesi wamejaa uvccm na baba/mama zao unategemea ufanisi utoke wapiLabda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu
Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Hata kama eneo kubwa ila ni ndani ya Ikulu, tatizo tiaiesi wamejaa uvccm na baba/mama zao unategemea ufanisi utoke wapiLabda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu
Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Ni kweli kaka lakini kutokana na unyeti wa ikulu na udhaifu wa ulinzi wetu ulio legezwa na wana siasa watu ndio wanakuwa na mashaka na hilo, kumbuka sasa Dunia imekuwa ina mambo mengi sana hasa ya ugaidia nk.Labda nimeelewa vibaya kuwa eneo la Ikulu ni kubwa mno
Sidhani huo ukumbi utakuwa karibu na Ikulu
Kwanza mjue eneo la Ikulu ni ukubwa gani ndio muanzie hapo
Nasubiri wa karibu hapo
Kama ni "kuchezea kodi" basi aliyeleta wazo la kuhamishia makao makuu Dodoma na kuziasisi CDA ndiye mwenye makando makando hayo. Unamkumbuka ni nani?Katika nchi yoyote, Ikulu is one of the most, if not the most secure premise. Maana hapo ndio ofisi za madaraka ya juu kabisa.
Pamoja na kupongeza ujenzi wa Ikulu mpya Chamwino, nimeshangazwa sana na mapendekezo mapya ya majengo ya huduma.
Pengine kama sijaelewa maana yake.
-Kutakuwepo na jengo la Samia Complex,
-Ukumbi wa mkutano wa watu 2000 hadi 3000.
-Uwanja wa ndege.
-Jengo la Zanzibar
-Majengo ya East Africa
Sasa hapo nikajiuliza unapokaribisha umati kama huo wa watu ndani ya Ikulu, na wahudumu ambao kazi zao si za moja kwa moja na shughuli za Ikulu, na ukumbi ambao hauna commercial use, maana yake nini kiuhalisia?
Usalama wa Ikulu yenyewe kama hiyo itakuwa na gharama kubwa .
Kwa 98% majengo pendekezwa yatakuwa hayatumiki kwa day to day business.
Pale Ukumbi wa CCM Jakaya Kikwete, ukumbi uko mjini lakini kuna popo, maana matumizi yake kwa mwezi ni mara moja au mbili.
Kama kuna mikutano mfululizo pengine mara moja ndani ya miezi mitano au sita.
Washauriwa Rais kwani hamuoni hiyo mis use ya public funds?
Si tu kujenga white ekephants lakini ni kuchezea kodi zetu, ambazo wana Kariakoo wametuwakilisha vema zinavyotuumiza.
Nani asiyependa starehe dunia hii?Raisu wa awamu hii anapeenda sana vitu vya starehestarehe sana
Nchi gan hiyo Ina ikulu Kama soko?Jk aliongea kwenye uzinduzi juzi kuwa aliwatuma watu huko mbele.
Itakuwa ramani ya kwanza waliitupa hukoo
Inapoongelewa miti wewe unaingiza uzuri wa nyasi.Kama ni "kuchezea kodi" basi aliyeleta wazo la kuhamishia makao makuu Dodoma na kuziasisi CDA ndiye mwenye makando makando hayo. Unamkumbuka ni nani?
Ukiweza kuirudia hotuba ya jk siku ya uzinduzi utaijua, nimeisahauNchi gan hiyo Ina ikulu Kama soko?
Sawa ngoja nitairudia niijue hiyo nchi yenye sinagogiUkiweza kuirudia hotuba ya jk siku ya uzinduzi utaijua, nimeisahau
Wao wanawaza sherehe tu ndio akili zetu mwisho hapoTatizo si eneo.
Hebu linganisha na mfano huu.
Ikulu ni mahali nyeti kuliko kambi yoyote ya Jeshi.
Sasa pale Lugalo wewe kaweke ukumbi wa mikutano kwa watu 3000.
Mtu atakuona mwehu!
Unataka kuwalaumu warithi kwa kosa la baba yao?Inapoongelewa miti wewe unaingiza uzuri wa nyasi.
Logic wapi na wapi!
Anzisha mada yako yenye maudhui hayo.Unataka kuwalaumu warithi kwa kosa la baba yao?
Kwa sababu miradi ya ikulu haikaguliwi na CAG hapo ndipo uchochoro mzuri. Kweli Africa nyeusi haing'oi nanga.Mkuu kwani hujui anashauriwa haya mambo ya ovyo na wenye nia ya kupiga pesa za walipa kodi?
Ni ushauri wa mafisadi, wenye kufikiri vizuri watamshangaa anaye kubali huo ushauri.