Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza mkewe alikuwa hampendi yule Mzee kwa tabia yake ya umalaya na udikteta.Wanaendeshwa na mahaba niue tu.
Ukiangalia mkewe alivyonawiri baada ya yule mzee kufariki tu utagundua yule mzee alikuwa tatizo lililoshindikana
Wewe kimada chake mpaka ubishe?Kwahiyo wewe ndio mkewe kwamba unamjua sana ama?
Hawa malofa wanatamani kaburi la katili jiwe serikali itangaze ni sehemu takatifuMna mtetea huyo mtu wenu Kwa propaganda kuliko facts na msingi wa utetezi wenu hauna mashiko.
Nyie hamumjui vizuri yule Mzee. Hiyo ni just Minor case. Hivi mtu bilionea kumind kwa issue ya chenji ya buku 2 unadhani ni akili timamu?Wewe una chuki Binafsi tu, roho mbaya gani? Na kwa nini usimrudishie chenji yake? Kama sio wizi ni nini? Mtu kukudai chenji yake ndo ana roho mbaya??? Acha chuki tafta hela Mkuu
Rangi gani bruhMtu akajiita “Jiwe” bado mnaona ana akili?
Ila kupitia haya yalioibuliwa na Kabendera nimejua chawa wengi wa jiwe ambao wengine walikuwa wanajificha ficha kama bangi
raraa reree bro tumejua rangi yako, umejitahidi sanna kukificha lakini tumekunasa
Na wale pia wanaosema mapungufu ya Magufuri lazima wajue kwamba shida inatokea kwenye mfumo.Kuteka,kufanya matendo yote maovu ni mfumo tu ndio unampa nguvu anayekuwa kiongozi mkuu(kukuhakikishia hili, ata wanaokaza shingo hapa wakipewa madaraka katika mfumo huu watateka na kufanya maovu pia(rejea huyu wa sasa,mwanzoni si alipigiwa makofi na kuimbwa na wapinzani wake sio? Sasa hivi wanasemaje?)Kumbuka kuwa marais wote wa CCM wanatekeleza ilani ile ile, tatizo letu ni kule kuwaabudu baadhi na kuwachukia baadhi. Sisi kushabikia urais wa fulani kunatunyima uwezo wa kufahamu kuwa wote ni watimizaji wa kinachoandikwa kwenye ilani ya uchaguzi.
Hata kwenye ziara za magu yule mama alikuwaga mnyonge sana ila sahv anachanua tu anainjoy lifeWanaendeshwa na mahaba niue tu.
Ukiangalia mkewe alivyonawiri baada ya yule mzee kufariki tu utagundua yule mzee alikuwa tatizo lililoshindikana
Pumbavu kabisa wewe unataka kuzuia buku la mwanaume mwenzako hutaki kudaiwa chenji.Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho maiti nyingi zimeokotwa zikiwa zimeharibika na nyingi kutokutambulika, katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho Watanzania wengi walipotea kuliko utawala wa Rais yeyote. Watanzania wasahaulifu sana. Ukiwawekea tukio moja wanasahau ya nyuma yote.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais.
Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Watu wanataka kuzuia chenji alafu wabembelezwe.Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
HUU NDIO UKATILI?
Sema sifa zote mbaya kuhusu Magufuri ila kuchapa kazi acha kudanganya watu Afrika Mashariki na Kati hakuna mtu mchapa kazi kama Hayati Magufuri.Watanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho maiti nyingi zimeokotwa zikiwa zimeharibika na nyingi kutokutambulika, katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho Watanzania wengi walipotea kuliko utawala wa Rais yeyote. Watanzania wasahaulifu sana. Ukiwawekea tukio moja wanasahau ya nyuma yote.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais.
Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Una mtindio WA ubongo. JPM is the hero of 21st centuryWatanzania wengi wanampenda Magufuli kupindukia. Sababu kuu nadhani ni ushamba na roho mbaya. Wengi ukiwauliza kwanini unampenda Magufuli atakuambia jamaa ni mchapa kazi. Kama kufanya maendeleo Rais Samia kafanya makubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 3 kuliko Magufuli wa miaka 6. Ila ile comedy na roho mbaya ya kutumbua wenzake hadharani ndio sababu kuu ya Watanzania kumpenda Magufuli.
Mtanzania hufurahi sana matatizo ya mwenzake. Mtanzania anafurahi taarifa za msiba, ajali , jirani kukosa kazi, kufukuzwa kazi n.k
Mtanzania akiona jirani yake kalala njaa moyo wake unaburufldika.
Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.
Katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho maiti nyingi zimeokotwa zikiwa zimeharibika na nyingi kutokutambulika, katika kipindi cha utawala wake ndio kipindi ambacho Watanzania wengi walipotea kuliko utawala wa Rais yeyote. Watanzania wasahaulifu sana. Ukiwawekea tukio moja wanasahau ya nyuma yote.
Magufuli alikuwa katili. Ndio vile tu hatuwezi kusema kila kitu kuhofia uhai wetu lakini yule Mzee kutoa roho za wenzake huo mchezo kauanza kabla hajawa Rais.
Mumtafute dereva wake wa zamani akiwa waziri wa ujenzi kabla hajawa Rais mumuhoji politely huenda atafunguka. Yeye anaujua vizuri ukatili wa Magufuli.
Acha kukaririshwa wewe.Wengi wanaomchuki magufuli humu ndani ni wale watu watumishi hewa/upepo aliowafukuza au wana undugu na wale wote waliofukuzwa na Magu
Iko hivyo na itabaki kuwa hivyo.
kuuza, mikopo kede kede, piki piki zimeingia mapema sana? Mbona hauna shukurani mkuuNimeishia hapo uliposema mama kafanya mengi zaidi kuliko Magufuli.
Sasa ndugu unataka ukitumwa kitu chenji ubaki nayo bila ruhusa ya mwenye pesa ?Magufuli nimemjua kitambo kabla hajawa Rais . Ni mtu mwenye roho mbaya sana.
Magufuli akikutuma kitu dukani hata kama chenji ni elfu 1 au 2 lazima umrudishie. Usijisahaulishe , atakukumbusha na kukuabisha hata miezi 3 mbele.